Mapadre acheni kuudhalilisha ukatoliki (padre aomba waumini wamchangie milion 90 anunue kluger ya kutembelea

Zamani mapadre walikuwa wananunuliwa magari na wafadhili wao wa nje.
Miaka ya karibuni kanisa linajitegemea sasa unataka padri apande punda kwenye kuhudumia wanajumuiya na wakristo wa huko vigangoni?
Maisha ya sasa gari sio anasa ni hitaji muhimu kwa mtu mwenye ratiba ya maisha.
Pole mleta mada kwa hali ngumu ya maisha iliyonayo.
Nikukumbushe tu miaka nadhani 2/3 waamini wa jimbo la Kahama walimnunulia askofu wao VXR mpya atembelee na kuwahudumia.
 
...Kweli, Wanajifhalilisha tu ! [emoji35][emoji35]...

Sent from my TECNO BD4j using JamiiForums mobile app
 
Walikuwa wanachangia waumini wenzenu wa Ulaya kuja kuhudumia makanisa yenu huku Afrika.
Sasa muhudumie wenyewe parokia zenu.

Tunatoa sadaka kila jpili, tunatoka michango Kibao kila jumapili, tumechangia miradi kama bank ya mkombizi ya kanisa, tumechangia kumbi Kibao za harusi, mashule ta seminary, mahosptili no lakn still hatupumzishwi michango ikiwepo padiri anataka gari jipya.

Kwann wasitoe kweny mishahar yao wajinunulie magari watakayo
 
Sasa viongozi wa kiroho wa namna hiyo ndio wanaudhalilisha ukatoliki

Na hata michango pia imezid kuwa mingi siku hadi siku, yaan imefikia hatua sasa hv ukiwa na 5k unaogopa kwenda kanisani sababu haitoshi hata sadaka
 
Una hakika na hiki ulichoandika hapa?

Tangu miezi miwili iliyopita leo ndio umekumbuka kuanzisha thread sio?!

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Nimeamua kuandika leo hii sababu nimeona kwenye kanisa lilelile limetokea tena la padri kutumwa na baba paroko aje amchukulie milioni moja yake aliyowaomba waumin

Hicho ndicho kilichonikera mpaka niandike

Sababu mara ya kwanza wameomba ml 90 , leo hii hao hao wanadai milion sasa inamaana kwamba mapadri wa kanisa lile ni omba omba
 
Ilikuwa lazima uanzishe uzi kutafuta justification ya irresponsibility yako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…