Mapadre acheni kuudhalilisha ukatoliki (padre aomba waumini wamchangie milion 90 anunue kluger ya kutembelea

Mapadre acheni kuudhalilisha ukatoliki (padre aomba waumini wamchangie milion 90 anunue kluger ya kutembelea

Toa sadaka zako kwa yule Malisa gifted heart foundation anasaidia sana watanzania wagonjwa kupata matibabu ya magonjwa makubwa kwa masikini wasiojiweza kuliko kuchangia Hao jamaa magari wakachukulie mademu.
 
Nimeandika kwa masikitiko makubwa sana nikiwa kama muumin kindakindaki mkatoliki

Miezi miwili iliyopita nilijumuika na waumini wenzangu kwenye misa ya asubuh ndani ya kanisa katoliki lililopo maeneo ya saint carol wilayani sengerema jijini Mwanza

Mamia ya waumini tulijumuika kwenye misa hiyo,

Kitu kilichonishangaza kwenye hiyo ibada ni pale padre alipoomba waumini tumchangie pesa kiasi cha milioni 90 kwa ajili ya kununua toyota kluger ya kutembelea

Padre hakuishia hapo bali aliendelea kwa kutoa utaratibu wa namna gani pesa hiyo itapatikana

Alitoa amri kila kigango kimchangie milioni 1 na pesa nyingine alielekeza namna zitakapopatikana infact nilijiskia vibaya sana na kujiuliza hv wakatoliki kweli tumefikia hatua hii?

Leo hii tena tarehe 10 nimeudhulia misa ya asubuh kwenye kanisa lilelile padre aliongea kauli yenye ukakas sana, kwamba baba paroko amemwagiza amchukulie kiasi cha milioni moja ambacho aliwaomba waumin wamchangie akiwa kwenye ibada siku za nyuma zilizopita

Niliposkia kauli hiyo nilitoka ndani ya kanisa na kuondoka zangu

Sasa swali langu linaenda kwa wale viongozi wa juu wa kikatoliki

Kwanini mmetufanya sisi waumini wenu kama major source of income? Au mnataka tusiwe tunakuja kusali?

Haya mambo kwenye ukatoliki yameanza lini mbona mnajidhalilisha

Na hiyo kluger ya milion 90 ni kluger gan au anataka range?

Tena kaongea kabisa kwamba ameongea na wataalam wa magar wakamshaur gar nzur inayofaa kwa mazingira ya kitanzania ni kampuni ya toyota na wakamshaur anunue toyota kluger ambayo wakampatia na bei tsh milion 90 wakatoliki badiliken mnatia aibu
Kluger milioni 90? Au kuna toleo jioya silijui? Angeomba hata Rav4 basi..
 
Nimeandika kwa masikitiko makubwa sana nikiwa kama muumin kindakindaki mkatoliki

Miezi miwili iliyopita nilijumuika na waumini wenzangu kwenye misa ya asubuh ndani ya kanisa katoliki lililopo maeneo ya saint carol wilayani sengerema jijini Mwanza

Mamia ya waumini tulijumuika kwenye misa hiyo,

Kitu kilichonishangaza kwenye hiyo ibada ni pale padre alipoomba waumini tumchangie pesa kiasi cha milioni 90 kwa ajili ya kununua toyota kluger ya kutembelea

Padre hakuishia hapo bali aliendelea kwa kutoa utaratibu wa namna gani pesa hiyo itapatikana

Alitoa amri kila kigango kimchangie milioni 1 na pesa nyingine alielekeza namna zitakapopatikana infact nilijiskia vibaya sana na kujiuliza hv wakatoliki kweli tumefikia hatua hii?

Leo hii tena tarehe 10 nimeudhulia misa ya asubuh kwenye kanisa lilelile padre aliongea kauli yenye ukakas sana, kwamba baba paroko amemwagiza amchukulie kiasi cha milioni moja ambacho aliwaomba waumin wamchangie akiwa kwenye ibada siku za nyuma zilizopita

Niliposkia kauli hiyo nilitoka ndani ya kanisa na kuondoka zangu

Sasa swali langu linaenda kwa wale viongozi wa juu wa kikatoliki

Kwanini mmetufanya sisi waumini wenu kama major source of income? Au mnataka tusiwe tunakuja kusali?

Haya mambo kwenye ukatoliki yameanza lini mbona mnajidhalilisha

Na hiyo kluger ya milion 90 ni kluger gan au anataka range?

Tena kaongea kabisa kwamba ameongea na wataalam wa magar wakamshaur gar nzur inayofaa kwa mazingira ya kitanzania ni kampuni ya toyota na wakamshaur anunue toyota kluger ambayo wakampatia na bei tsh milion 90 wakatoliki badiliken mnatia aibu
Huyo Padre ahamie KILIMANJARO. Huko padre ni Kama mungu.

Anaogopwa na kila mtu.

Atapata hata milioni 200 muda mfupi tu. Huku mapadre wanaishi kifahari.
 
Hakuna huo utaratibu na padre haruhusiwi kumiliki mali binafsi. Hapo imetumika lugha ya mafumbo aliposema gari lake anamaanisha "gari la parokia" . Wakati mwingine mapadre wakiomba kuchangiwa labda kwa 'mkono wa kwaheri' au sababu fulani, hiyo pesa huwa hawaitumii kwa matumizi binafsi bali utakuta wanapeleka kutoa misaada au wanapeleka kwenye shirika fulani na huwa hawasemi inabaki mioyoni mwao. Mfano kuna padre aliandika vitabu kadhaa kwa hiyo akaomba waumini wamchangie kununua hivyo vitabu ili apate pesa kidogo, Lakini kumbe baadaye ilijulikana ile pesa yote alipeleka kuchangia kituo maalum cha rehab.

Acha kuongea au kutetea Utumbo wewe. Kanisa katoliki kulitoa msaada wapi? Ukiona wanatoa msaada ujue waumini ndio wanalazimishwa wachange ziende huko, sio kanisa litatoa kwny account yake.

Kama kanisa linataka kununua gari si kuna miradi Kibao ya kanisa iliojengwa na waumini haohao kama mashule ya seminari, hosptli, maukumbi ya harusi nk. Hizo fedha zinazo tokana na hii miradi ilitochangwa na waumini fedha zake hupelekwa wapi kwann usinunue hayo magari ya Anasa?

Ujenzi wa parokia na vigango vipya huchangwa na waumini. Sio hela itokanayo na miradi. Kanisa katoliki now days misa moja kuna sadaka zaidi ya 3. Ukija kwny ishu ya jumuia huko hadi sabuni za mapadiri manaambiwa mzichange. Kwahiyo imekuwa kama waumini ndiyo mradi bila huruma.

Swali ambalo la kujituliza, mbona wakt mapadre wa kizungu wapo hii mambo haikuwepo?
 
Kuna redio fulani ya dini nilikuwa nasikilliza juzi...mtumishi kwenye mahubiri kipindi cha nyuma alisema anapenda v8 na siku nilosikiliza tena nikamsikia anasema anapenda v8 atanunuaga tu au basi muumini amnunulie.... Kuna muumini akampa v8 zile za kuchezea watoto iwe mwanzo mwema kwa yeye kupata.

Wenzentu watumishi wana njia rahisi ya kukidhi mahitaji yao... Anakupa neno la kukugusq in return of sadako yako tena anasisitiza sadaka nono... Wewe toa ye atakuombea ukajibiwe siku usiyo ijua.

Watumishi wa saivi hata biblia ilisha tuonya.
 
Nimeandika kwa masikitiko makubwa sana nikiwa kama muumin kindakindaki mkatoliki

Miezi miwili iliyopita nilijumuika na waumini wenzangu kwenye misa ya asubuh ndani ya kanisa katoliki lililopo maeneo ya saint carol wilayani sengerema jijini Mwanza

Mamia ya waumini tulijumuika kwenye misa hiyo,

Kitu kilichonishangaza kwenye hiyo ibada ni pale padre alipoomba waumini tumchangie pesa kiasi cha milioni 90 kwa ajili ya kununua toyota kluger ya kutembelea

Padre hakuishia hapo bali aliendelea kwa kutoa utaratibu wa namna gani pesa hiyo itapatikana

Alitoa amri kila kigango kimchangie milioni 1 na pesa nyingine alielekeza namna zitakapopatikana infact nilijiskia vibaya sana na kujiuliza hv wakatoliki kweli tumefikia hatua hii?

Leo hii tena tarehe 10 nimeudhulia misa ya asubuh kwenye kanisa lilelile padre aliongea kauli yenye ukakas sana, kwamba baba paroko amemwagiza amchukulie kiasi cha milioni moja ambacho aliwaomba waumin wamchangie akiwa kwenye ibada siku za nyuma zilizopita

Niliposkia kauli hiyo nilitoka ndani ya kanisa na kuondoka zangu

Sasa swali langu linaenda kwa wale viongozi wa juu wa kikatoliki

Kwanini mmetufanya sisi waumini wenu kama major source of income? Au mnataka tusiwe tunakuja kusali?

Haya mambo kwenye ukatoliki yameanza lini mbona mnajidhalilisha

Na hiyo kluger ya milion 90 ni kluger gan au anataka range?

Tena kaongea kabisa kwamba ameongea na wataalam wa magar wakamshaur gar nzur inayofaa kwa mazingira ya kitanzania ni kampuni ya toyota na wakamshaur anunue toyota kluger ambayo wakampatia na bei tsh milion 90 wakatoliki badiliken mnatia aibu
Eeeh wakatoliki wabadilike tena? Kwan umeshajivua ukatoliki mkuu?
By the way, ulishamalizana na mamlaka ya maji ya Sengerema?
 
Kwa sasa kitu cha msingi kwa mkatoliki ni hiki:

1. Hudhuria Jumuiya ndogondogo

2. Hudhuria misa, toa sadaka 1 ile inayotakiwa.

3. Lipa vitu vya msingi tuu kama zaka na mavuno.

Takataka zingine zooote zinazokuja in the name of padre au paroko au askofu ACHANA NAZO.

Labda kama mchango ni kwa advantage ya kigango/parokia/jimbo hapo sawa unaweza changia lkn waweke reasonable amount.
Zaka ni kwa masikini na yatima sio matapeli church
 
Nimeandika kwa masikitiko makubwa sana nikiwa kama muumin kindakindaki mkatoliki

Miezi miwili iliyopita nilijumuika na waumini wenzangu kwenye misa ya asubuh ndani ya kanisa katoliki lililopo maeneo ya saint carol wilayani sengerema jijini Mwanza

Mamia ya waumini tulijumuika kwenye misa hiyo,

Kitu kilichonishangaza kwenye hiyo ibada ni pale padre alipoomba waumini tumchangie pesa kiasi cha milioni 90 kwa ajili ya kununua toyota kluger ya kutembelea

Padre hakuishia hapo bali aliendelea kwa kutoa utaratibu wa namna gani pesa hiyo itapatikana

Alitoa amri kila kigango kimchangie milioni 1 na pesa nyingine alielekeza namna zitakapopatikana infact nilijiskia vibaya sana na kujiuliza hv wakatoliki kweli tumefikia hatua hii?

Leo hii tena tarehe 10 nimeudhulia misa ya asubuh kwenye kanisa lilelile padre aliongea kauli yenye ukakas sana, kwamba baba paroko amemwagiza amchukulie kiasi cha milioni moja ambacho aliwaomba waumin wamchangie akiwa kwenye ibada siku za nyuma zilizopita

Niliposkia kauli hiyo nilitoka ndani ya kanisa na kuondoka zangu

Sasa swali langu linaenda kwa wale viongozi wa juu wa kikatoliki

Kwanini mmetufanya sisi waumini wenu kama major source of income? Au mnataka tusiwe tunakuja kusali?

Haya mambo kwenye ukatoliki yameanza lini mbona mnajidhalilisha

Na hiyo kluger ya milion 90 ni kluger gan au anataka range?

Tena kaongea kabisa kwamba ameongea na wataalam wa magar wakamshaur gar nzur inayofaa kwa mazingira ya kitanzania ni kampuni ya toyota na wakamshaur anunue toyota kluger ambayo wakampatia na bei tsh milion 90 wakatoliki badiliken mnatia aibu
Mie muumini wa hili kanisa. Huwa naingia kanisani kabla Xmass imebakiza wiki mbili. Lishakuwa Saccoss
 
Back
Top Bottom