Mapadri wakizeeka wanapewa mafao ya kujikimu?

Mapadri wakizeeka wanapewa mafao ya kujikimu?

Ossy167

Member
Joined
Jun 29, 2021
Posts
18
Reaction score
9
Hello habari Ndugu Nina swali . Hivi mapadre wakikatoliki pale wanapokuwa wazee je wana mafao yeyote ya kuwasaidia kujikimu? Au je pale waumwapo wakati wa uzee wao ni Kanisa linatakiwa kuwahudumia ama inakuwaje! Au wanakuwa wanaishi wapi ?
 
Hello habari Ndugu Nina swali . Hivi mapadre wakikatoliki pale wanapokuwa wazee je wana mafao yeyote ya kuwasaidia kujikimu? Au je pale waumwapo wakati wa uzee wao ni Kanisa linatakiwa kuwahudumia ama inakuwaje! Au wanakuwa wanaishi wapi ?
Mi nijuavyo kwa ufahamu wangu mapadre wa Rc wengi wao huhudumiwa hadi mwisho wa maisha yao,na hakuna watu wanaoishi maisha ufahari kama mapadre,Maisha yao ni raha mustarehe
 
Hello habari Ndugu Nina swali . Hivi mapadre wakikatoliki pale wanapokuwa wazee je wana mafao yeyote ya kuwasaidia kujikimu? Au je pale waumwapo wakati wa uzee wao ni Kanisa linatakiwa kuwahudumia ama inakuwaje! Au wanakuwa wanaishi wapi ?
Wao wanapokuwa hawawezi kabisa huwa wanahudumiwa na kanisa kwa kila hitaji lililo ndani ya nadhiri zake! hadi hapo atakaporudi mavumbini bila kukengeuka
 
Hello habari Ndugu Nina swali . Hivi mapadre wakikatoliki pale wanapokuwa wazee je wana mafao yeyote ya kuwasaidia kujikimu? Au je pale waumwapo wakati wa uzee wao ni Kanisa linatakiwa kuwahudumia ama inakuwaje! Au wanakuwa wanaishi wapi ?
Mapadre wakikatoliki wao hawalipwi mishara wala mafao, wao ni wahudumu wa kanisa na kanisa linawahudumia mwisho wa maisha yao hadi kuzika' ndiomaana watawa wao na mapadre wakifariki hawazikwi na ndugu bali kanisa, na huo ni mkataba wa kiapo cha Roman catholic
 
Hawalipwi mafao yoyote yale ya uzeeni! Ukishapokea Sakramenti ya Upadre, unakuwa umefunga ndoa na kanisa! Utatakiwa kuchunga kondoo wa Bwana maisha yako yote!

Ukizeeka kwa kiwango cha kushindwa kuendesha misa, utaenda kuishi kwenye nyumba maalum kwa ajili ya mapadre wazee. Huko mtapewa huduma zote muhimu. Na ukiumwa, Kanisa litakutibu mwanzo mwisho.

Mapadre hawalipwi mishahara! Isipokuwa tu posho ambayo hulipwa kila mwaka mara moja. Wakati nilipokuwa Mseminari, miaka mingi iliyopita, posho yao ilikuwa ni tsh. Milioni 1.5 kwa mwaka! Bila shaka kwa sasa itakuwa ni zaidi ya hapo.

Mapadre wa zamani walikuwa na wafadhili wao huko Roma - Italy na pia Austria (MIVA), ambao waliwatumia magari ya kutembelea na fedha kwa ajili ya kuanzishia miradi mbalimbali!

Ila kwenye miaka ya katikati kwa 90 na 2000, hawa wafadhili walipungua kwa kiwango kikubwa, na hivyo kufanya baadhi ya maisha ya mapadre kuwa magumu kwa kiasi chake.

NB: maisha ya USEJA ni magumu kwa Mapadri wengi! Maana wanakula vyakula vyenye mafuta, wanga na sukari nyingi! Sasa kinachotokea baada ya hapo, wanakijua wenyewe! Baadhi wanayamudu. Ila wengi yanawashinda.

Naamini ipo siku wataruhusiwa kuoa kama sisi Walei wao.
 
Hawalipwi mafao yoyote yale ya uzeeni! Ukishapokea Sakramenti ya Upadre, unakuwa umefunga ndoa na kanisa! Utatakiwa kuchunga kondoo wa Bwana maisha yako yote!

Ukizeeka kwa kiwango cha kushindwa kuendesha misa, utaenda kuishi kwenye nyumba maalum kwa ajili ya mapadre wazee. Huko mtapewa huduma zote muhimu. Na ukiumwa, Kanisa litakutibu mwanzo mwisho.

Mapadre hawalipwi mishahara! Isipokuwa tu posho ambayo hulipwa kila mwaka mara moja. Wakati nilipokuwa Mseminari, miaka mingi iliyopita, posho yao ilikuwa ni tsh. Milioni 1.5 kwa mwaka! Bila shaka kwa sasa itakuwa ni zaidi ya hapo.

Mapadre wa zamani walikuwa na wafadhili wao huko Roma - Italy na pia Austria (MIVA), ambao waliwatumia magari ya kutembelea na fedha kwa ajili ya kuanzishia miradi mbalimbali!

Ila kwenye miaka ya katikati kwa 90 na 2000, hawa wafadhili walipungua kwa kiwango kikubwa, na hivyo kufanya baadhi ya maisha ya mapadre kuwa magumu kwa kiasi chake.

NB: maisha ya USEJA ni magumu kwa Mapadri wengi! Maana wanakula vyakula vyenye mafuta, wanga na sukari nyingi! Sasa kinachotokea baada ya hapo, wanakijua wenyewe! Baadhi wanayamudu. Ila wengi yanawashinda.

Naamini ipo siku wataruhusiwa kuoa kama sisi Walei wao.
Mapadre hawana maisha magumu na hawategemei sadaka tu na michango makanisa wana miradi mikubwa tu mashule hospitali ufugaji hadi kilimo na
Sidhani kama kazi yao ni kuongoza misa tu

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Mapadre hawana maisha magumu na hawategemei sadaka tu na michango makanisa yana miradi mikubwa tu mashule hospitali ufugaji hadi kilimo na
Sidhani kama kazi yao ni kuongoza misa tu

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Hiyo miradi haipo kila sehemu/Parokia! Wapo Mapadre wengi tu wanaishi aina hiyo ya maisha. Na sikatai hicho ulichokisema.

Na usisahau pia hao Mapadre nao ni binadamu kama sisi. Hivyo wana tabia za ubinafsi, kupigana zewnge/majungu, ukuda, nk.
 
Hiyo miradi haipo kila sehemu/Parokia! Wapo Mapadre wengi tu wanaishi aina hiyo ya maisha. Na sikatai hicho ulichokisema.

Na usisahau pia hao Mapadre nao ni binadamu kama sisi. Hivyo wana tabia za ubinafsi, kupigana zewnge/majungu, ukuda, nk.
Hivi ni kweri wanaruhusiwa kunywa pombe?? Au ni story tu!!
 
Na masista nao maisha yao yanakuwaje nao wanapofikia umri wa kuzeeka nao wanalipwa nssf ama pssf
 
Hello habari Ndugu Nina swali . Hivi mapadre wakikatoliki pale wanapokuwa wazee je wana mafao yeyote ya kuwasaidia kujikimu? Au je pale waumwapo wakati wa uzee wao ni Kanisa linatakiwa kuwahudumia ama inakuwaje! Au wanakuwa wanaishi wapi ?

Mi swali langu ni hivi kamanda! Mapadri na masista baada ya kustaafu kwao huwa wanaowa/wanaolewa? Au maisha yao yote wanakua single!
 
Hawalipwi mafao yoyote yale ya uzeeni! Ukishapokea Sakramenti ya Upadre, unakuwa umefunga ndoa na kanisa! Utatakiwa kuchunga kondoo wa Bwana maisha yako yote!

Ukizeeka kwa kiwango cha kushindwa kuendesha misa, utaenda kuishi kwenye nyumba maalum kwa ajili ya mapadre wazee. Huko mtapewa huduma zote muhimu. Na ukiumwa, Kanisa litakutibu mwanzo mwisho.

Mapadre hawalipwi mishahara! Isipokuwa tu posho ambayo hulipwa kila mwaka mara moja. Wakati nilipokuwa Mseminari, miaka mingi iliyopita, posho yao ilikuwa ni tsh. Milioni 1.5 kwa mwaka! Bila shaka kwa sasa itakuwa ni zaidi ya hapo.

Mapadre wa zamani walikuwa na wafadhili wao huko Roma - Italy na pia Austria (MIVA), ambao waliwatumia magari ya kutembelea na fedha kwa ajili ya kuanzishia miradi mbalimbali!

Ila kwenye miaka ya katikati kwa 90 na 2000, hawa wafadhili walipungua kwa kiwango kikubwa, na hivyo kufanya baadhi ya maisha ya mapadre kuwa magumu kwa kiasi chake.

NB: maisha ya USEJA ni magumu kwa Mapadri wengi! Maana wanakula vyakula vyenye mafuta, wanga na sukari nyingi! Sasa kinachotokea baada ya hapo, wanakijua wenyewe! Baadhi wanayamudu. Ila wengi yanawashinda.

Naamini ipo siku wataruhusiwa kuoa kama sisi Walei wao.
Miaka ya zamani matajili wengi Uraya waliacha mirathi yao kwa kanisa. Hizi pesa zilisaidia sana kueneza dini Aflika. Ziliwezesha makanisa kujengwa, na kuanzisha miradi ya maendeleo kama maji safi, shule na hospitali.

Sikuhizi matajili wanaweza kuacha ulisi kwenye club ya mpira , au charity ya kutunza mbwa na paka. Kanisa linapitia changamoto nyingi sana.

Kuna mapadre wenye wito wa kweri, hawa wanakuambia kuliko aharibu uhusiano wake na Mungu ni kheri afe mapema kuliko kuukosa ufalme wa Mungu.
 
Miaka ya zamani matajili wengi Uraya waliacha mirathi yao kwa kanisa. Hizi pesa zilisaidia sana kueneza dini Aflika. Ziliwezesha makanisa kujengwa, na kuanzisha miradi ya maendeleo kama maji safi, shule na hospitali.

Sikuhizi matajiri waaweza kuacha ilisi kwenye club ya mpira , au charity ya kutunza mbwa na paka. Kanisa linapitia changamoto nyingi sana.

Kuna mapadre wenye wito wa kweri, hawa wanakuambia kuliko aharibu uhusiano wake na Mungu ni kheri afe mapema kuliko kuukosa ufalme wa Mungu.
Hiki ni nini umeandika?
Matokeo ya elimu bure ndio haya.
 
Back
Top Bottom