Mapadri wakizeeka wanapewa mafao ya kujikimu?

Mapadri wakizeeka wanapewa mafao ya kujikimu?

Mkuu unasema "Ipo siku wataruhusiwa kuoa"

Swali langu ni kwamba,

Kwani nani kawakataza kuoa? Je ni sheria ya Mungu au ni binadamu tu ndiye aliyewawekea huo utaratibu?

Nauliza tu kiroho safi ili nijue.
Ni mapokeo tu ya kanisa. Hakuna mafundisho ya moja kwa moja ya Mwenyezi Mungu ya kiwazuia Makuhani wake kuoa. Ingawa Mapadri wa Kikatoliki, mara nyingi hutumia mfano wa Mtume Paulo ambaye kimsingi hakuoa maisha yake yote!
 
Miaka ya zamani matajili wengi Uraya waliacha mirathi yao kwa kanisa. Hizi pesa zilisaidia sana kueneza dini Aflika. Ziliwezesha makanisa kujengwa, na kuanzisha miradi ya maendeleo kama maji safi, shule na hospitali.

Sikuhizi matajili wanaweza kuacha ulisi kwenye club ya mpira , au charity ya kutunza mbwa na paka. Kanisa linapitia changamoto nyingi sana.

Kuna mapadre wenye wito wa kweri, hawa wanakuambia kuliko aharibu uhusiano wake na Mungu ni kheri afe mapema kuliko kuukosa ufalme wa Mungu.
Ujue kanisa katoliki ni serikali kamili yani VATICAN, serikali ya VATICAN ina vyanzo vingi sana va kuingizia hela makampuni mabenki hata viwanda sehemu nyingi duniani, mbali na mirada hiyo USA na baadhi ya nchi za ulaya hutoa mamilon ya hela kuisaidia serikali ya VATICAN
 
Maisha ya kutokuwa na watoto,ni maisha ya upweke.
Mkuu watoto wanasaidia nini au wewe mzazi wako unamsaidia nini kama sikumsumbua tu, sasa ukiwa na uhakika ukistafu utahudumiwa, ukiwa mgojwa utatibiwa ukizeeka utatunzwa vizuri na u kifa utazikwa, sasa hiyo mitoto ya nini tena? Ndio maana wazungu hawataki kuzaa kutokana na uchumi wao wanauhakika wa Khatma yao.
 
Upadre = useja
Ni kweli. Ila siyo Mapadre wote wanao fanikiwa kutekeleza hiki kiapo chao. Wapo baadhi hujiingiza katika mahusiano, kinyume kabisa na hicho kiapo chao cha useja!

Na hili jambo siyo la siri hata kidogo! Wapo Mapadre wenye watoto, familia, walio kwenye mahusiano na wake za watu, wanafunzi, watawa, nk.

Hivyo badala ya kufanya kwa siri, bora wangepewa option! Wanaotaka kuoa waoe, na wasiotaka waendelee kuishi maisha ya useja.
 
Ni kweli. Ila siyo Mapadre wote wanao fanikiwa kutekeleza hiki kiapo chao. Wapo baadhi hujiingiza katika mahusiano, kinyume kabisa na hicho kiapo chao cha useja!

Na hili jambo siyo la siri hata kidogo! Wapo Mapadre wenye watoto, familia, walio kwenye mahusiano na wake za watu, wanafunzi, watawa, nk.

Hivyo badala ya kufanya kwa siri, bora wangepewa option! Wanaotaka kuoa waoe, na wasiotaka waendelee kuishi maisha ya useja.
Mimi sio mkristu ni muislam, ila ujue moja tatizo la baadhi ya viongozi wadini wachache kujiingiza kwenye mambo kinyume na hadhi yao lipo sehemu zote, sasa ukisema yupo padre ana watoto huyo ni siri yake, au inwezekana ni mapadre wa kilutheran wao wanarusiwa kuwowa.
 
Hello habari Ndugu Nina swali . Hivi mapadre wakikatoliki pale wanapokuwa wazee je wana mafao yeyote ya kuwasaidia kujikimu? Au je pale waumwapo wakati wa uzee wao ni Kanisa linatakiwa kuwahudumia ama inakuwaje! Au wanakuwa wanaishi wapi ?
Mapadre hadi kuzikwa wanazikwa na kanisa sembuse kuhudumiwa?. Mtu akishakua padre hata family yake haina haki ya kudai maiti yake, ni wa kanisa tu huyo hata awe mzee, mgonjwa, etc...
 
Mimi sio mkristu ni muislam, ila ujue moja tatizo la baadhi ya viongozi wadini wachache kujiingiza kwenye mambo kinyume na hadhi yao lipo sehemu zote, sasa ukisema yupo padre ana watoto huyo ni siri yake, au inwezekana ni mapadre wa kilutheran wao wanarusiwa kuwowa.
Kwenye ukristo hakuna 'siri yake' mheshimiwa! Yaani Mapadre wanatakiwa kuishi maisha ya useja (ya kuto kuoa, au kukutana na mwanamke faragha)!

Wakifanya tofauti na hivyo, wanakuwa wameenda kinyume na kiapo chao. Na kwenye uzi huu tunawaongelea Mapadre wa Kikatoliki! Na siyo wa Madhehebu mengine, ambao wanaruhusiwa kuoa.
 
Mi nijuavyo kwa ufahamu wangu mapadre wa Rc wengi wao huhudumiwa hadi mwisho wa maisha yao,na hakuna watu wanaoishi maisha ufahari kama mapadre,Maisha yao ni raha mustarehe
Kasoro kitu kimoja tu
 
Mkuu una ndugu yako padre nini unataka ukachukue mafao!!

Hahaha!!! Nina ndugu yangu ambaye ni padre mzee kidogo na anaumwa sasa nikawa nawaza kwanni yupo nyumbani badala ya kuwa katika uangalizo wa Kanisa . Ofcourse niliambiwa na mshua kwamba hakuna wa kumwangalia huko Kanisani na wakitaka kumpeleka kuishi nyumba za mapadre anabidi alipe Ndo maana ikabidi niulize
 
Mi swali langu ni hivi kamanda! Mapadri na masista baada ya kustaafu kwao huwa wanaowa/wanaolewa? Au maisha yao yote wanakua single!

Nahisi wanaendelea kutumikia kanisa maana kile kiapo cha kutokuoa Au kuolewa ni cha maisha
 
Mi nijuavyo kwa ufahamu wangu mapadre wa Rc wengi wao huhudumiwa hadi mwisho wa maisha yao,na hakuna watu wanaoishi maisha ufahari kama mapadre,Maisha yao ni raha mustarehe
Ila tatizo naskia ndo hawapigi mshipa
 
Itabidi tumuulize Dr SLAA na CCM kwani Alikuwa PADRE kabla ya kuingia kwenye Siasa
Kwani Dr Slaa ni msisiem tangu lini?

Kukubali cheo cha kiserikali, kwako tayari kalivaa joho la kijani!

Watu wazushi nyie!
 
Kazi ya hiyari unalipwaje mafao ,ukishiriki msiba unataka upewe malipo....japokua kuna mashirika yao kwamajina sitaweka Ila namba nitaeleza

1 ,linahela sana ukibahatika kudondokea hapo umeula kama padr

2,hili kama unalifahamu utaishia kuvaa suruali moja hadikifochako halina network/connection
 
Back
Top Bottom