Mapadri wakizeeka wanapewa mafao ya kujikimu?

Kwakweli waruhusiwe maana ni mtihani si kidogo
 
Hello habari Ndugu Nina swali . Hivi mapadre wakikatoliki pale wanapokuwa wazee je wana mafao yeyote ya kuwasaidia kujikimu? Au je pale waumwapo wakati wa uzee wao ni Kanisa linatakiwa kuwahudumia ama inakuwaje! Au wanakuwa wanaishi wapi ?
Hakuna wanatelekezwa nyumba ya wazee wafie huko
 
Sidhani, kwa sababu padre ni mali ya Kanisa, akishapokea nadhiri za daima haweza kutoka tena nje ya kanisa kwa namna yoyote, maana kanisa lina huduma zote muhimu, hili limetokea wapi?

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…