Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kweli hata hutumii akili kwani kuondoka inamaanisha hali mbaya?inamaanisha wamemaliza mission sasa wanawachia wanajeshi wa nchi walinde nchi yaoKwa akili yako mpk leo hujiuliz wapo wap hao chen chen mliwapamba wapo wapi warusi walioingia na maparachuti yupo wapi yule mjeda wenu mlisema ndo alikuwa kiboko kule syria , leo tunaona wagner pia wanatoka , ila vichaa hawajiongez kujua kuwa hali ni mbaya kwa Urusi
Tumeshateka mji, wewe tuambie unamiliki nini Bakhmut ili Wagner wawe waongo?
Weka evidence mpo sehemu gani bakhmut
Jiongeze asee Urus alivamia Ukraine kwa vikosi vyake mara wakaja chenchen mara syria ikatoa wanajeshi mara tukasikia kamanda aliyepigana syria , mara kazi wakapewa wagner , hizi ngonjera zote hazikufungui ubongo wako mdgo ? Mbona sijawai sikia wapiganaj wowote upande wa Ukraine ? Sitak uniambie sijui NATO maana huna ushaidi mbali na umbeyaWewe kweli hata hutumii akili kwani kuondoka inamaanisha hali mbaya?inamaanisha wamemaliza mission sasa wanawachia wanajeshi wa nchi walinde nchi yao
International Legion unadhani ilikuwa ni nini?Jiongeze asee Urus alivamia Ukraine kwa vikosi vyake mara wakaja chenchen mara syria ikatoa wanajeshi mara tukasikia kamanda aliyepigana syria , mara kazi wakapewa wagner , hizi ngonjera zote hazikufungui ubongo wako mdgo ? Mbona sijawai sikia wapiganaj wowote upande wa Ukraine ? Sitak uniambie sijui NATO maana huna ushaidi mbali na umbeya
Mji wa Artemovisk ushakombolewa tayari, kwa Sasa Russian wanaipiga kwa nguvu AvdiviikaBakhmut ni mji wa Ukraine ambao wanapambana kuulinda, jina linafanya udhani wa ndugu zako waarabu....
Ona mnavyouana huku Mnyukano wa Sudan wahamia Darfur, imeshindikana wa kuwapatanisha
Mwakiembe anajua mchezo wenu inasikitisha sanaKajaribishe huo upuzi wenu kwa Wamaasai au mikoani popote uone kitakacho kutokea, myafanye huko na mbaki huko.
Sasa kama wamemaliza kazi yao unataka Wagner waendelee kukaa pale? wanakwenda kwenye kazi nyingine Bakhmut ni Russia kwasasaKwa akili yako mpk leo hujiuliz wapo wap hao chen chen mliwapamba wapo wapi warusi walioingia na maparachuti yupo wapi yule mjeda wenu mlisema ndo alikuwa kiboko kule syria , leo tunaona wagner pia wanatoka , ila vichaa hawajiongez kujua kuwa hali ni mbaya kwa Urusi
Sasa Bakhmut na Sudani wapi na wapi? Huyu jamaa hawezagi kutulia kwenye madaMji unamilikiwa na Ukraine, usione jina la kiarabu ukadhani ni wa ndugu zako ambao naona wanauana huku Sudan Mnyukano wa Sudan wahamia Darfur, imeshindikana wa kuwapatanisha
Sasa kama wamemaliza kazi yao unataka Wagner waendelee kukaa pale? wanakwenda kwenye kazi nyingine Bakhmut ni Russia kwasasa
Dogo unawashwa sana.Chanzo cha habari page ya FB ya General staff wa vikosi vya ulinzi vya Ukraine
Kuna neno la uongo hapo?Dogo unawashwa sana.
Kazi ya utawala ni ya warusi sio wagner, wale wamesha kabidhi mji wanakwenda sehemu nyingine kuichukua kama BakhmutWamekimbia, wametupisha tuendelee sisi kuchinja Warusi, ila sijui wanafia nini maana sio kama wale wenu hifia mabikira.
Kazi ya utawala ni ya warusi sio wagner, wale wamesha kabidhi mji wanakwenda sehemu nyingine kuichukua kama Bakhmut
Wagner kazi yao kukomboa mji sio utawala si wanalipwa shida iko wapi? Bakhmut ipo chini ya Urusi kwasasa wale wagner wanapewa kazi nyingine wale wapo sana, hao Israel kama wana ubavu wavamie Iran kama Urusi alivyo vamia Ukraine, sio hizo keleleWarusi walishindwa ikabidi waombe Wagner, nao Wagner wamekimbia sasa Warusi wamebaki wachinjwe wenyewe.
Naona mkuu wenu mwingine huku anapokea mapigo, hiyo dini bana Israeli wapiga maslahi na makundi ya Iran nchini Syria
Wagner kazi yao kukomboa mji sio utawala si wanalipwa shida iko wapi? Bakhmut ipo chini ya Urusi kwasasa wale wagner wanapewa kazi nyingine wale wapo sana, hao Israel kama wana ubavu wavamie Iran kama Urusi alivyo vamia Ukraine, sio hizo kelele
Tuonyeshe Bakhmut una miliki nini? hii ndio kazi ya Wagner sasa, kufa kawaida uwanja wa vita au Ukraine watu halafu? muhimu Bakhmut kwasasa ni sehemu ya UrusiWagnaer kazi yao ni kufa kama mizoga, sasa wameshindwa kuendelea kufa wameona isiwe tabu wakaachia Warusi wajifie.
Tuonyeshe Bakhmut una miliki nini? hii ndio kazi ya Wagner sasa, kufa kawaida uwanja wa vita au Ukraine watu halafu? muhimu Bakhmut kwasasa ni sehemu ya Urusi