Mapambano Bakhmut yanaendelea, licha ya Wagner kutafuta pakutokea kwa kujitangazia ushindi

Mapambano Bakhmut yanaendelea, licha ya Wagner kutafuta pakutokea kwa kujitangazia ushindi

Bakhmut inamilikiwa na wazawa, imeanza kuwatoka puani baada ya Wagner kutoroka.
Wazawa wapi wakati ni mali ya Urusi kwa sasa, tunataka. kupeleka polisi hili shughuli za kiraia zirudi , baada ya wajeshi kusimika mipaka
 
Wazawa wapi wakati ni mali ya Urusi kwa sasa, tunataka. kupeleka polisi hili shughuli za kiraia zirudi , baada ya wajeshi kusimika mipaka

Mrusi kwa sasa ameachwa wazi achinjwe maana mizoga imekimbia mapambano.
 
Sasa hiyo si drone ina husika vip na Bakhmut ? shida yako hujui kusimamia unacho kitetea

Bakhmut sio ajenda tena maana mizoga imeikimbia, ni mwendo wa Warusi kujifia, inabidi niendelee kuwapa updates za supapawa wenu anavyolizwa na drones ndani.
 
Bakhmut sio ajenda tena maana mizoga imeikimbia, ni mwendo wa Warusi kujifia, inabidi niendelee kuwapa updates za supapawa wenu anavyolizwa na drones ndani.
Kweli sio ajenda maana kwasasa ni sehemu ya Urusi, na hakuna mzoga hata mmoja wa Ukraine waliokufa wote ni Wagner maana akili yako haina akili
 
Back
Top Bottom