Mapambano makali kati ya jeshi la DRC dhidi ya kundi la M23 yaanza tena

Mapambano makali kati ya jeshi la DRC dhidi ya kundi la M23 yaanza tena

Jkk jr na moise katumbi.last sunday
watoto wa katanga
 

Attachments

  • WA-IMG-20220525-5778c7f0.jpg
    WA-IMG-20220525-5778c7f0.jpg
    54.1 KB · Views: 27
Msemaji wa FARDC Kanali Ndjike Kaiko amesema mapambano makali kati ya jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Kundi la waasi lijulikanalo kama “The March 23 Movement” (M23) yameanza tena mapema jana huko kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

Kanali Kaiko amesema FARC ilianza kufanya mashambulizi dhidi ya Kundi la M23 kuanzia Jumapili asubuhi katika eneo la Rutshuru mkoani Kivu Kaskazini, ambapo Jeshi la DRC linaendelea kuongoza dhidi ya maadui wao.

Jeshi la taifa linataka kumaliza unafiki wa waasi wa M23 kwa njia timilifu, kwasababu waasi hao hawataki kutimiza amani kwa dhati. Kutokana na kurejeshwa kwa operesheni hizi, jeshi la taifa litadhibiti tena vilima vinavyotumiwa na waasi kama kituo chao, na kuwaletea tena wananchi amani.
Kagame ni paka jeusi. Jiwe + Kagame = Putin. HQ ni motoni.
 
Back
Top Bottom