Mapambano makali kati ya jeshi la DRC dhidi ya kundi la M23 yaanza tena

Mapambano makali kati ya jeshi la DRC dhidi ya kundi la M23 yaanza tena

Ina maana bado watawala wa Kigali hawajatosheka na walioyafanya huko Drc mashariki ?....

Kagame anahofia kitu gani kutokea huko?

Kiongozi wa Sasa wa M23 ni nani ? au bado ni Makenga ?

zitto junior mtu chake Richard lee van cliff
Kanali Sultani Makenga ndie raisi wa sasa wa M23 na kabla yake alikuwa jamaa aitwa Jean-Marie Lugerero.

Elewa kwamba hawa M23 ni watutsi ambao walizaliwa Congo DRC lakini wahesabiwa kuwa ni wakongo.

Hivyo utaona kwamba PK hawezi kukosa usingizi kisa Makenga anasumbua kule Kivu.

Nikuulize suali, ikiwa Makenga alipigana pamoja na majeshi ya RPF ambayo viongozi wake walikuwa ni pamoja ya PK, utasemaje kuwa leo PK akose usingizi au awe na hofu?
 
Kn mengine pale congo mashariki yanaendelea hayaelezeki kirahisi.ni faida kwa nchi na faida kwa majeshi ni km biznes flan ipo pale.kwa mwavuli wa kusaka aman
Yap!...Kuna chanzo nilisoma kinadai ile operation ya kulinda amani (Monusco) ni moja ya operation ghali za UN hivyo wanatumia fedha nyingi mno, Kuna baadhi ya watu wangependa iwe endelevu maana inawanufaisha.
Richard
 
Yap!...Kuna chanzo nilisoma kinadai ile operation ya kulinda amani (Monusco) ni moja ya operation ghali za UN hivyo wanatumia fedha nyingi mno, Kuna baadhi ya watu wangependa iwe endelevu maana inawanufaisha.
Richard
ni kweli mkuu.mengine kuandika ni magumu .lkn kn mengi yanaendelea kule congo mashariki.
1.kwa mgongo wa vita
2.kwa mgongo wa kulinda aman
 
ni kweli mkuu.mengine kuandika ni magumu .lkn kn mengi yanaendelea kule congo mashariki.
1.kwa mgongo wa vita
2.kwa mgongo wa kulinda aman
Ila mkuu kwa Sasa kwani kundi tishio lenye nguvu au tishio la kuiangusha Serikali ? Kwani M23 ina nguvu za kuangusha serikali ? Au ni vikundi tu vya kikabila na kieneo vyenye silaha ?
wa kupuliza zitto junior
 
Ila mkuu kwa Sasa kwani kundi tishio lenye nguvu au tishio la kuiangusha Serikali ? Kwani M23 ina nguvu za kuangusha serikali ? Au ni vikundi tu vya kikabila na kieneo vyenye silaha ?
wa kupuliza zitto junior
M23 kwani wanampango wa kuangusha serikali ya kinshansa? Si ADF wala hao M23 wenye uwezo wa kuangusha serikali.

Wenye lengo la kuangusha selikali ni FDLR nao wamezibitiwa porini.wengine wote ni MKAKATI
 
Ila mkuu kwa Sasa kwani kundi tishio lenye nguvu au tishio la kuiangusha Serikali ? Kwani M23 ina nguvu za kuangusha serikali ? Au ni vikundi tu vya kikabila na kieneo vyenye silaha ?
wa kupuliza zitto junior
Mkuu kwani Congo Ina jeshi la kupambana hata na Maimai?Congo bila msaada wa majeshi kutoka nchi nyingine hakuna kitu wanaweza kufanya.
 
Nimeskia kama Congo wanaomba Uganda na Burundi wapeleke jeshi kuongeza nguvu.
Alafu alipoulizwa mtumoja hivi mjumbe wa umoja wa mataifa ama Africa kuhusu ombi hilo la Congo, anasema kuingiza majeshi ya kigeni kongo kwaajili ya kupigana na M23 nikuifanya Congo kuwa uwanja wa vita.
Nikajiuliza hii statement inamaana gani.
Yani congo itakuwa uwanja wa vita kivipi, yani hao M23 wananguvu kiasi gani.
 
Kn mengine pale congo mashariki yanaendelea hayaelezeki kirahisi.ni faida kwa nchi na faida kwa majeshi ni km biznes flan ipo pale.kwa mwavuli wa kusaka aman
Uko right ni business kwani UN wajilipa kutokana na migodi mbalimbali na mataifa mengine yana maeneo kabisa ya kuchimba kama cobalt ya kutengeneza mawe (Lithium batteries) ya magari.

Hata Tesla wana mgodi wao kupitia mchimbaji ambae ni kampuni ya Canada.

Congo DRC ni shamba kubwa ambalo si la bibi bali lilitengenezwa na mabeberu (Belgium) ili liwe kama lilivyo sasa, halina mwenyewe.
 
Uko right ni business kwani UN wajilipa kutokana na migodi mbalimbali na mataifa mengine yana maeneo kabisa ya kuchimba kama cobalt ya kutengeneza mawe (Lithium batteries) ya magari.

Hata Tesla wana mgodi wao kupitia mchimbaji ambae ni kampuni ya Canada.

Congo DRC ni shamba kubwa ambalo si la bibi bali lilitengenezwa na mabeberu (Belgium) ili liwe kama lilivyo sasa, halina mwenyewe.
Mkuu
Najiuliza
Kwani hakuna Namna AMBAYO madini yakachukuliwa KWA amani tu BILA Shaba!!?yaani wakagawana migodi BILA milio ya Shaba humo KWENYE pori la kongo!!? Angalau vita viishe na shughuli za KAWAIDA ziendelee kama kawaida kuliko ilivyo Sasa!!?
 
Mkuu
Najiuliza
Kwani hakuna Namna AMBAYO madini yakachukuliwa KWA amani tu BILA Shaba!!?yaani wakagawana migodi BILA milio ya Shaba humo KWENYE pori la kongo!!? Angalau vita viishe na shughuli za KAWAIDA ziendelee kama kawaida kuliko ilivyo Sasa!!?
Wafahamu kitu kikiishatengenezwa kama pale Congo DRC basi huwa shida kukirekebisha.

Congo DRC "instability" ni kitu hakiwezi kuondolewa leo au kesho.

Congo DRC ina serikali "kioo" au kiinimacho na kisha kuna serikali zingine kivuli kama mbili au tatu hivi.

Kisha kuna warlords na vikundi mbalimbali vya uasi na wamo pia "arms dealers".

Hawa arms dealers wengi ni "unlisenced" yaani hawana leseni na hawatambuliki na wanaweza kukupatia silaha yoyote ile uoitaka hata latest. kutoka Ukraine.

Usistuke nikikuambia nchi yetu inalinda eneo la maziwa makuu na tunaona na tunafahamu kila kinoendelea kule Congo, ila nasi twafaidika kwa namna kubwa.

Hii pengine ni moja ya sababu nasi twahitaji kiongozi ambae si mgumu sana ili mambo yaendelee.

Ndo maana CCM haiwezi kutoka madarakani kwani kuna wadau wengi wa ndani na nje ya nchi wamejikita humo.

Wakisikia kuna "outsider" wanahamaki na kuingia uoga mkuu.
 
Back
Top Bottom