Mapambano makali kati ya jeshi la DRC dhidi ya kundi la M23 yaanza tena

Mapambano makali kati ya jeshi la DRC dhidi ya kundi la M23 yaanza tena

Wafahamu kitu kikiishatengenezwa kama pale Congo DRC basi huwa shida kukirekebisha.

Congo DRC "instability" ni kitu hakiwezi kuondolewa leo au kesho.

Congo DRC ina serikali "kioo" au kiinimacho na kisha kuna serikali zingine kivuli kama mbili au tatu hivi.

Kisha kuna warlords na vikundi mbalimbali vya uasi na wamo pia "arms dealers".

Hawa arms dealers wengi ni "unlisenced" yaani hawana leseni na hawatambuliki na wanaweza kukupatia silaha yoyote ile uoitaka hata latest. kutoka Ukraine.

Usistuke nikikuambia nchi yetu inalinda eneo la maziwa makuu na tunaona na tunafahamu kila kinoendelea kule Congo, ila nasi twafaidika kwa namna kubwa.

Hii pengine ni moja ya sababu nasi twahitaji kiongozi ambae si mgumu sana ili mambo yaendelee.

Ndo maana CCM haiwezi kutoka madarakani kwani kuna wadau wengi wa ndani na nje ya nchi wamejikita humo.

Wakisikia kuna "outsider" wanahamaki na kuingia uoga mkuu.
Mkuu kama tunalinda eneo la maziwa makuu una maanisha nchi zinazopakana na ziwa victoria Sasa pale Rwanda na sisi ule mgogoro wa paka na jk ulikuwa personal!!!?au ni nchi kama NCHI!!?
 
Mkuu kama tunalinda eneo la maziwa makuu una maanisha nchi zinazopakana na ziwa victoria Sasa pale Rwanda na sisi ule mgogoro wa paka na jk ulikuwa personal!!!?au ni nchi kama NCHI!!?
Yes, it was personal yaani kwa kiingereza twasema JK na PK walikuwa wana-"fly their weight about" yaaani kujitutumua nani mjanja. Ila heshima ipo kubwa kati yao.

Ila Tanzania ADS yaangaza eneo lote la maziwa makuu na pana mambo kama "buffer zone" na kadhalika.
 
Wafahamu kitu kikiishatengenezwa kama pale Congo DRC basi huwa shida kukirekebisha.

Congo DRC "instability" ni kitu hakiwezi kuondolewa leo au kesho.

Congo DRC ina serikali "kioo" au kiinimacho na kisha kuna serikali zingine kivuli kama mbili au tatu hivi.

Kisha kuna warlords na vikundi mbalimbali vya uasi na wamo pia "arms dealers".

Hawa arms dealers wengi ni "unlisenced" yaani hawana leseni na hawatambuliki na wanaweza kukupatia silaha yoyote ile uoitaka hata latest. kutoka Ukraine.

Usistuke nikikuambia nchi yetu inalinda eneo la maziwa makuu na tunaona na tunafahamu kila kinoendelea kule Congo, ila nasi twafaidika kwa namna kubwa.

Hii pengine ni moja ya sababu nasi twahitaji kiongozi ambae si mgumu sana ili mambo yaendelee.

Ndo maana CCM haiwezi kutoka madarakani kwani kuna wadau wengi wa ndani na nje ya nchi wamejikita humo.

Wakisikia kuna "outsider" wanahamaki na kuingia uoga mkuu.
Mkuu
Niliwahi sikia kuwa kama kinachoendelea kongo kisingekuwepo kongo kingetokea Tanzania!!!
Je ina Maana tz tuna rasilimali NYINGI kama za kongoi!!? KWANINI inasemwa Hivyo!!!?
 
Mkuu
Niliwahi sikia kuwa kama kinachoendelea kongo kisingekiwepo kongo kingetokea Tanzania!!!
Je ina Maana tz tuna rasilimali NYINGI kama za kingi!!? KWANINI inasemwa Hivyo!!!?
Sisi tunaheshimiwa kwa sababu ya baba wa Taifa hivyo ni kama wanakula na kipofu.

Pili, Tanzania ina bandari kubwa ambayo inasaidia landlocked countries zote, hivyo kijiografia sisi ni eneo la kimkakati ambapo hapahitaji instability yoyote ile.

Tatu twaongoza kwa idadi ya watu hivyo ni bora tuendelee hivyo kuwa heaven of peace badala ya kuwa failed state.

Mwisho ni CCM ndo wametoa guarantee hiyo na watalindwa daima.
 
Sisi tunaheshimiwa kwa sababu ya baba wa Taifa hivyo ni kama wanakula na kipofu.

Pili, Tanzania ina bandari kubwa ambayo inasaidia landlocked countries zote, hivyo kijiografia sisi ni eneo la kimkakati ambapo hapahitaji instability yoyote ile.

Tatu twaongoza kwa idadi ya watu hivyo ni bora tuendelee hivyo kuwa heaven of peace badala ya kuwa failed state.

Mwisho ni CCM ndo wametoa guarantee hiyo na watalindwa daima.
The state
Walimuelekeza mama kuandika katiba kupitia uzi wa Tumia akili wa "operation Imesitishwa the state wamesema apewe Muda"
Je katiba mpya ni mwiba KWA CCM huoni watapoteza madaraka na kuhatarisha hayo wanayoyalinda!!!?


Hatma ya katiba itakuwaje!!!?
Hatma ya CCM Baada ya katiba kupatikana itakuwaje!!?
 
The state
Walimuelekeza mama kuandika katiba kupitia uzi wa Tumia akili wa "operation Imesitishwa the state wamesema apewe Muda"
Je katiba mpya ni mwiba KWA CCM huoni watapoteza madaraka na kuhatarisha hayo wanayoyalinda!!!?


Hatma ya katiba itakuwaje!!!?
Hatma ya CCM Baada ya katiba kupatikana itakuwaje!!?
Katiba mpya haiwezi kuja hivihivi chini ya CCM.

Kinotakiwa kufanyika ni raisi kufanya maamuzi magumu na kutumia decree kutangaza kura mpya ya maoni.

Kura mpya ya maoni kutaka katiba mpya ikikubaliwa na wananchi na kuheshimiwa basi huo ndo mwisho wa CCM.

Sasa raisi alie madarakani wakati huu nae ataka uraisi kwa uchaguzi wa 2025 hivyo kufanya process nzima kuwa ngumu.

Tanzania haiwezi kuwa na chama mbadala cha siasa kwa mazingira yaliyopo ya CCM kuvirubuni vyama vilivyopo kwa kuketi pamoja na kunywa chai na keki na kushushia na juisi Ikulu.

Au vipi mkuu?

Turudi kwenye mada ya Congo DRC
 
Uko right ni business kwani UN wajilipa kutokana na migodi mbalimbali na mataifa mengine yana maeneo kabisa ya kuchimba kama cobalt ya kutengeneza mawe (Lithium batteries) ya magari.

Hata Tesla wana mgodi wao kupitia mchimbaji ambae ni kampuni ya Canada.

Congo DRC ni shamba kubwa ambalo si la bibi bali lilitengenezwa na mabeberu (Belgium) ili liwe kama lilivyo sasa, halina mwenyewe.
mkuu umeiweka vzr mno hapo ktk 'shamba'.na hkn ht nchi moja yenye nia ya kweli ya drc kuwe na aman hasa mashariki.
 
Wafahamu kitu kikiishatengenezwa kama pale Congo DRC basi huwa shida kukirekebisha.

Congo DRC "instability" ni kitu hakiwezi kuondolewa leo au kesho.

Congo DRC ina serikali "kioo" au kiinimacho na kisha kuna serikali zingine kivuli kama mbili au tatu hivi.

Kisha kuna warlords na vikundi mbalimbali vya uasi na wamo pia "arms dealers".

Hawa arms dealers wengi ni "unlisenced" yaani hawana leseni na hawatambuliki na wanaweza kukupatia silaha yoyote ile uoitaka hata latest. kutoka Ukraine.

Usistuke nikikuambia nchi yetu inalinda eneo la maziwa makuu na tunaona na tunafahamu kila kinoendelea kule Congo, ila nasi twafaidika kwa namna kubwa.

Hii pengine ni moja ya sababu nasi twahitaji kiongozi ambae si mgumu sana ili mambo yaendelee.

Ndo maana CCM haiwezi kutoka madarakani kwani kuna wadau wengi wa ndani na nje ya nchi wamejikita humo.

Wakisikia kuna "outsider" wanahamaki na kuingia uoga mkuu.
msome mtu anaitwa dany gartel na biznes za drc
 
Mkuu kama tunalinda eneo la maziwa makuu una maanisha nchi zinazopakana na ziwa victoria Sasa pale Rwanda na sisi ule mgogoro wa paka na jk ulikuwa personal!!!?au ni nchi kama NCHI!!?
jk akiwa addis ababa ktk AU alimtaka pk akae na fdlr mezani waridhiane kitendo pk alichukia

Pia kumbuka ile operesheni kule kagera ya wavamizi
 
Nimeskia kama Congo wanaomba Uganda na Burundi wapeleke jeshi kuongeza nguvu.
Alafu alipoulizwa mtumoja hivi mjumbe wa umoja wa mataifa ama Africa kuhusu ombi hilo la Congo, anasema kuingiza majeshi ya kigeni kongo kwaajili ya kupigana na M23 nikuifanya Congo kuwa uwanja wa vita.
Nikajiuliza hii statement inamaana gani.
Yani congo itakuwa uwanja wa vita kivipi, yani hao M23 wananguvu kiasi gani.
lazima tujiulize silaha zinatoka wap ! huko ndo kumebeba the real meaning ya hiyo statement , unapokuza mgogoro na wauza silaha wanapata soko kubwa la kuuza silaha .
 
Back
Top Bottom