The state
Walimuelekeza mama kuandika katiba kupitia uzi wa Tumia akili wa "operation Imesitishwa the state wamesema apewe Muda"
Je katiba mpya ni mwiba KWA CCM huoni watapoteza madaraka na kuhatarisha hayo wanayoyalinda!!!?
Hatma ya katiba itakuwaje!!!?
Hatma ya CCM Baada ya katiba kupatikana itakuwaje!!?