BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Wakali wa hit Amapiano ya John vuli gate (Mapara A Jazz) kwa mtazamo wa kiutafiti yawezekana wakawa ndio kundi cheap na rahisi kupatikana compared na makundi yenye mfanano na wao kutoka bondeni kwa Madiba.
Thamani ya vitu au watu upimwa kwa Sifa mbalimbali ila kubwa ni upekee na upatikanaji wake lakini ikitokea kitu kikawa na ubora pamoja na upekee afu kikawa ni rahisi kupatikana basi pasipo na shaka watu uanza kukichukulia poa kwa maana thamani yake inakuwa ya chini refer mwanamke akiwa mzuri afu kila mwanaume anayemtaka anampata ndivyo anavyozidi kuchukuliwa poa lakini mwanamke akiwa wa kawaida lakini upatikanaji wake ukawa ni mgumu thamani yake inakuwa juu.
Hawa ndugu zetu Mapara A Jazz Bongo imekuwa kama kwao ndani ya kipindi kifupi cha mwaka 2021 washafanya kazi zaidi ya nne na wasanii wa bongoflava kwa observation ya kawaida kabisa utagundua kuwa upatikanaji wao ni simple na hata vigezo na masharti yao yako rafiki kiasi cha kumpa kila msanii fursa ya kufanya nao kazi.
Wasanii waliofanya nao kazi bongo na majina ya kazi zenyewe.
1. Iyo - Diamond Platnumz
2. Ayaya - Rj the Dj ft Lavalava
3. Chawa - Rayvanny ft whozu
4. Na bado - fas Masauti
Ni mtazamo wangu tu.
From northern part of Tanzania.
Thamani ya vitu au watu upimwa kwa Sifa mbalimbali ila kubwa ni upekee na upatikanaji wake lakini ikitokea kitu kikawa na ubora pamoja na upekee afu kikawa ni rahisi kupatikana basi pasipo na shaka watu uanza kukichukulia poa kwa maana thamani yake inakuwa ya chini refer mwanamke akiwa mzuri afu kila mwanaume anayemtaka anampata ndivyo anavyozidi kuchukuliwa poa lakini mwanamke akiwa wa kawaida lakini upatikanaji wake ukawa ni mgumu thamani yake inakuwa juu.
Hawa ndugu zetu Mapara A Jazz Bongo imekuwa kama kwao ndani ya kipindi kifupi cha mwaka 2021 washafanya kazi zaidi ya nne na wasanii wa bongoflava kwa observation ya kawaida kabisa utagundua kuwa upatikanaji wao ni simple na hata vigezo na masharti yao yako rafiki kiasi cha kumpa kila msanii fursa ya kufanya nao kazi.
Wasanii waliofanya nao kazi bongo na majina ya kazi zenyewe.
1. Iyo - Diamond Platnumz
2. Ayaya - Rj the Dj ft Lavalava
3. Chawa - Rayvanny ft whozu
4. Na bado - fas Masauti
Ni mtazamo wangu tu.
From northern part of Tanzania.