Mapato Simba Day vs Yanga Day

Mapato Simba Day vs Yanga Day

Mashabiki wa yanga kweli elimu hamna yaani kila atakacho sema yule nguruwe pori mnakubali sasa hizo document si hata ww ukikaa na computer yako unatoa mkeka kama huo sema manara kashawajua nyie mambumbu ndio maana anafanya hvyo maana alisema hamuunzi hatua za awali na mlikubali.
 
Yanga waliweka nguvu kupata PESA na SIMBA YANGU iliweka nguvu kwa mashabiki wake waenjoy siku yao.
Data za kupika hzo data za kweli angalia lile shindano la nani zaidi la AZAM mpaka yanga waliamua kujitoa maana walikuwa wako hoi wakaona wasiaibike bure.
 
Data za kupika hzo data za kweli angalia lile shindano la nani zaidi la AZAM mpaka yanga waliamua kujitoa maana walikuwa wako hoi wakaona wasiaibike bure.
Mwamwdi alienda akazamisha milion 100, Yanga wakastukia! Nyau hawana mashabiki watoaji!
 
Data za kupika hzo data za kweli angalia lile shindano la nani zaidi la AZAM mpaka yanga waliamua kujitoa maana walikuwa wako hoi wakaona wasiaibike bure.
Acha ubishi usio na kichwa wala miguu! Hata msimu uliopita, TFF hii ya shabiki mwenzenu Wallace Karia ilitoa taarifa ambayo ikionesha wazi Yanga ndiyo Klabu iliyo ongoza kwa mapato ya mlangoni!
 
Kama unavyoachaga geti lako wazi wanazamisha tu mmoooo!
Haswaaaaaaah, km bangala alivopitishwa tobo, na mpira ukaenda wavuni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] byuti byuti
 
Hiyo ya kukosa furaha nyau zimejitungia! Mbona sisi tuna furaha yetu tangu tulivyowavuruga msimu uliopita? Unajua maana ya unbeaten wewe?
Mla jana kala nini...? Wahenga walisema [emoji23]
 
Mwamwdi alienda akazamisha milion 100, Yanga wakastukia! Nyau hawana mashabiki watoaji!
Tatizo la mashabiki wa yanga hawana filter wanabeba kila kitu wanachosikia kwa nguruwe pori kama huu utopolo ulioandika.
 
Kuna kitu sijaelewa, Simba ndie kajaza uwanja lakini mapato kazidiwa. Naomba maelezo
Mambo ya Wingi dhidi ya Ubora (yaani Quantity vs Quality).

Mfano chukulia Mwananchi Day ya jana (22/7/2023).

Uwanja haukujaa sawa. Ila kiingilio cha chini kilikuwa ni Tshs. 10,000/-

Kwa hiyo mfano kama uwanja ulijaa kwa theluthi-mbili hao ni watu 40,000 mara 10,000 ni milioni 400/-

Wale wa VIP wa tiketi za Tshs. 500,000/- na 100,000/- ni nyongeza tu, sio wengi sana.

Sasa ukute Simba wakaweka tiketi Tshs. 5,000/- wakajaza uwanja wote watu 60,000 mara 5,000/- ni Tshs. milioni 300/- tu.
 
Back
Top Bottom