Mapato ya Filamu ya Royal Tour kule AMAZON ni kufuru, kuingizia Tanzania zaidi ya TZS 1.5 Trilioni kwa mwaka

Mapato ya Filamu ya Royal Tour kule AMAZON ni kufuru, kuingizia Tanzania zaidi ya TZS 1.5 Trilioni kwa mwaka

Kwenye matikiti pia tunalimishana hivi.

Unasema tumeigharamia wakati Msigwa kashasema hela ya Filamu sio yetu, ni msaada.

Hata hivyo ukweli utajulikana muda ukifika
Lakini matikiti yakikubali yanakuwaga na pesa mkuu 😂😂
 
Write your reply...kwahiyo hao amaxon hawapatii kitu na ile zote watapeleka kwa watanzania. kweli illiterate bado wapo
 
Nothing, Nothing, Nothing.
Hilo ni changa la macho.
Ukweli ni kwamba, kiongozi anatakiwa kuwa na Power ya kusimamia mambo makubwa ya msingi katika Nchi.
Kwa mfano, unaweza ukawa na juhudi za kukopa fedha lakini hizo fedha zikifika huna uwezo wa kusimamia matumizi yake.
Yaani, zitaingilia kulia na kutokea kushoto, wakati huo wewe kama kiongozi huna habari.
Hapo work done inakuwa ni sawa na zero.
 
Kwenye Tanzania ya viwanda tulikuwa tunadaganywa hivihivi mwisho tukaambiwa kuwa vyerehani 5 ni kiwanda.
 
Nothing, Nothing, Nothing.
Hilo ni changa la macho.
Ukweli ni kwamba, kiongozi anatakiwa kuwa na Power ya kusimamia mambo makubwa ya msingi katika Nchi.
Kwa mfano, unaweza ukawa na juhudi za kukopa fedha lakini hizo fedha zikifika huna uwezo wa kusimamia matumizi yake.
Yaani, zitaingilia kulia na kutokea kushoto, wakati huo wewe kama kiongozi huna habari.
Hapo work done inakuwa ni sawa na zero.
Mambo gani hajasimamia?
 
Nothing, Nothing, Nothing.
Hilo ni changa la macho.
Ukweli ni kwamba, kiongozi anatakiwa kuwa na Power ya kusimamia mambo makubwa ya msingi katika Nchi.
Kwa mfano, unaweza ukawa na juhudi za kukopa fedha lakini hizo fedha zikifika huna uwezo wa kusimamia matumizi yake.
Yaani, zitaingilia kulia na kutokea kushoto, wakati huo wewe kama kiongozi huna habari.
Hapo work done inakuwa ni sawa na zero.
Hata wewe umeandika nothing
 
Rais samiah ni akili kubwa Sana ni vile tu yale makondoo yamejaza kamasi vichwani Yale mavijana ya "sukuzi"
Rais wetu amefanya kazi mbili kwa wakati mmoja "Kuitambulisha nchi, kuonyesha vivutio vyetu kimataifa na hapo hapo kuleta wawekezaji au kuvutia uwekezaji" wa trillion 11,ambao utasababisha AJIRA 300,000
N.B,-RAIS MAKINI NI LAZIMA APAMBANIE SUALA LA AJIRA KWA NGUVU ZOTE,NA HATA NDICHO KINACHOZUNGUMZWAGA SANA NA HATA WAGOMBEA URAIS KOTE DUNIANI,( Employment to his ppls) AJIRA KWA WANA WA NCHI,RAIS AJUE WAPI ATAWAPELEKA WAHITIMU..SASA MAMA ANAPIGANA KWELIKWELI, AM SURE TUTAFIKA.
•sioni vibaya mh.rais akafungua soko la ajira kwa wasomi wetu nchi za ngambo mfano,Burundi Kongo NCHI zisizo na wataalamu Fulani ili wasomi wetu wakaendaga huko,watakachopata watarudisha kwa ndg zao.
 
Rais samiah ni akili kubwa Sana ni vile tu yale makondoo yamejaza kamasi vichwani Yale mavijana ya "sukuzi"
Rais wetu amefanya kazi mbili kwa wakati mmoja "Kuitambulisha nchi, kuonyesha vivutio vyetu kimataifa na hapo hapo kuleta wawekezaji au kuvutia uwekezaji" wa trillion 11,ambao utasababisha AJIRA 300,000
N.B,-RAIS MAKINI NI LAZIMA APAMBANIE SUALA LA AJIRA KWA NGUVU ZOTE,NA HATA NDICHO KINACHOZUNGUMZWAGA SANA NA HATA WAGOMBEA URAIS KOTE DUNIANI,( Employment to his ppls) AJIRA KWA WANA WA NCHI,RAIS AJUE WAPI ATAWAPELEKA WAHITIMU..SASA MAMA ANAPIGANA KWELIKWELI, AM SURE TUTAFIKA.
•sioni vibaya mh.rais akafungua soko la ajira kwa wasomi wetu nchi za ngambo mfano,Burundi Kongo NCHI zisizo na wataalamu Fulani ili wasomi wetu wakaendaga huko,watakachopata watarudisha kwa ndg zao.
😍😍😍😍
 
Rais samiah ni akili kubwa Sana ni vile tu yale makondoo yamejaza kamasi vichwani Yale mavijana ya "sukuzi"
Rais wetu amefanya kazi mbili kwa wakati mmoja "Kuitambulisha nchi, kuonyesha vivutio vyetu kimataifa na hapo hapo kuleta wawekezaji au kuvutia uwekezaji" wa trillion 11,ambao utasababisha AJIRA 300,000
N.B,-RAIS MAKINI NI LAZIMA APAMBANIE SUALA LA AJIRA KWA NGUVU ZOTE,NA HATA NDICHO KINACHOZUNGUMZWAGA SANA NA HATA WAGOMBEA URAIS KOTE DUNIANI,( Employment to his ppls) AJIRA KWA WANA WA NCHI,RAIS AJUE WAPI ATAWAPELEKA WAHITIMU..SASA MAMA ANAPIGANA KWELIKWELI, AM SURE TUTAFIKA.
•sioni vibaya mh.rais akafungua soko la ajira kwa wasomi wetu nchi za ngambo mfano,Burundi Kongo NCHI zisizo na wataalamu Fulani ili wasomi wetu wakaendaga huko,watakachopata watarudisha kwa ndg zao.
😍
 
Hesabu za makadirio darasa la nne st kayumba hazijawahi kumuacha mtu salama!
mf Tsh 1.5m haya kadiria? = mzigo unakuwa Tsh 2m cash! kuna ndoto flani huwa zinapendeza maskini anaota kaokota pochi ya Dangote akiamka patupu anapiga mzinga hela ya mihogo !
 
Back
Top Bottom