Mapendekezo: Baraza la Mawaziri

Kama tupo serious na kumpata Waziri wa Fedha imara na tunatapa mabadiliko Wizara hiyo apewe Hussein Bashe-binafsi yangu ndio huwa namuona huwa yupo serious.


Bashe yupo serious na Kazi zake vibaya sana sina uhakika na utaalamu wake wa masuala ya fedha, msikivu na anaingilika
 
12. Napinga. MH Jaffery Chege wa Rorya anafaa kuwa Waziri wa Ardhi
 
Nakuhakikishia. Samia ni Rais wa JMT 2025-2030. Tutarudi hapa kukumbushana.
 
Duh! Kwamba umependa kupitiliza.

Anyway hata akija mwingine we BADILI GIA angani maana chawa habagui windo.
Mkuu,
Sio kupenda kupitiliza. Jijenge tabia ya kutojidanganya mwenyewe hata kama upendi itakavyokuwa kwenye uchaguzi mkuu 2025. Ni muhimu kwa afya yako ya akili labda kama unafanya siasa kwenye ili.

Again I want to reiterate my question; Ni nani ndani ya CCM au upinzani anaweza kuwa kumwondoa Samia 2025?
 
Akikujibu nitagg
 
Mkuu Lord Denning.

Kwenye wizara ya utalii sikubaliani na wewe.
Wengi waliowahi kuchaguliwa kuiongoza hii wizara hawana uwezo. Ni Lazaro Nyalandu ndio niliona alikuwa anajitaidi kidogo.
Kwa bahati mbaya, wengi wanaogombea ubunge na kushinda. Uwezo wao unaishia kwenye kuwashawishi wabongo lakini nje ya Tanzania wanakuwa domo zege.

Sasa mtu anachaguliwa kuwa Waziri wa Utalii. Yeye kikomo cha uwezo wake kipo kwenye kuchagua bongo muvi au fleva kuwa mabalozi wa Utalii. Sio Jambo baya lakini hiyo ni kuitangaza Tanzania ndani ya Tanzania!

Kwa mtazamo wangu, kuitendea haki hii wizara inabidi rais atumie haki yake kikatiba kumpa mtu ubunge wa viti maalumu na kumpa hii wizara!

Inatakiwa mtu anayeweza kujieleza kwenye TV za uko mbeleni na sio uwezo wake unaishia kumkabidhi Diamond bendera ya Tanzania pale Clouds!

Lakini nao viongozi wa Afrika hawapendi kuona Waziri wake yupo BBC hardtalk au Geographic channels anajielezea. Ni anaona kama anamfunika. Wapo more comfortable na madomo zege nje ya Tanzania. Na sio mtu mwenye uwezo wa kufanya Royal tour part 2!
 
Wewe ni mtu wa ajabu sana bro,mwenzako kaja na mawazo ww umempinga tuuu bila kutoa mapendekezo yoyote, really?Come on
Mleta mada anawapenda wajinga wa sampuli yako, amekuja na mada amejichanganya haina locus standi, amekosa consistence kwenye maelezo yake, bado wewe unaona amekuja na mawazo?

Nisome nilivyoendelea kumjibu comments zilizofuata uone alivyojichanganya, hajui anasimama wapi; elimu au "mipango".

Mawazo yake ni ya hovyo sana, kwangu hii thread ilitakiwa kufutwa kabisa, akajipange upya kuja na mawazo mengine yaliyonyooka ndio yasomwe halafu itolewe option B kama ikihitajika.
 
Uharibifu wa mazingira unajulikana ndiyo ila nani aliwahi kuchukua hatua kama hizi huko nyuma?

Mtu akifanya vizuri apongezwe na akikosea akosolewe
Hata sioni cha maana ulichonijibu, unaruka ruka tu, uchambuzi wako fake.
 
Hivi January Makamba hanaga proffession?
Maana kwingine kote naona umewataja kwa sifa ikiwemo taaluma, Ila kwa huyu mwamba naona Kama umepata kigugumizi๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š
Huyu katumwa na makamba
 
Umesema vyema. Nakubaliana na wewe
 
Huna hoja zaidi ya kujaa chuki. Hakuna lolote la maana unaloongea zaidi ya kuonesha chuki tu kwa watu usiowapenda. kama unapinga jambo pinga kwa hoja nzito na sema kwa nini unapinga kwa hoja
 
Huwezi kujiongeza? Aliyekusudiwa ni Abdullah Mwinyi ambaye ni mwanasheria. Hussein Mwinyi ni Daktari by professional
Bado unapuyanga tu!

Ummy Mwalimu ni Mwanasheria by professional,lakini ni Waziri wa Afya! Doroth Gwajima ni Daktari by professional lakini ni Waziri wa maendeleo ya jamii,Makamba kasoma mambo ya conflicts,lakini ni Waziri wa Nishati, Dotto Biteko ni Mwalimu by professional ni Waziri wa Madini! Punguza njaa utaandika na yasiyoandikika! Mtu ni Rais aje kua Naibu Waziri kweli?? Nina njaa kama wewe,lakini njaa yako imenizidi
 
Kama Kimei hafai basi CRDB ingekuwa benki mufilisi sasa
We jamaa reasoning capacity yako ni zero kabisa!

CRDB kwa taarifa yako,ilikua moto sababu ya pesa za serikali nyingi zilikua zinapitia pale! Hadi mishahara ya watu wa serikali ilikua inapita pale,Baada ya Magu kupiga chini CRDB,Kimei akaachia ngazi faster,maana alijua kuna anguko lake linakuja! Sasa hivi NMB kamuacha CRDB mbali sana kwa kila kitu! Punguza njaa!
 
Una haki ya kutoa mawazo yako, ila ulipomtaja Gwajima, nimetilia shaka uchambuzi na uwezo wako.
 
Kama tupo serious na kumpata Waziri wa Fedha imara na tunatapa mabadiliko Wizara hiyo apewe Hussein Bashe-binafsi yangu ndio huwa namuona huwa yupo serious.
Bashe humujui kwa undani! Nimefanya nae kazi MCL! Bashe ni hatari,ni mpigaji mzuri sana! Hizo ni bla bla tu! Nikijana wa Rostam yule! Wizara ya fedha kwa Bashe hapana,atakula hadi basi! Bashe anadunda sababu ya nguvu ya Rostam tu,bila Rostam Bashe angekua huko mavumbini!

Mwaka 2010, kipindi cha Jakaya,kina Jakaya na Makamba Senior,waliwahi sema Bashe sio mtanzania,Masha akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani alimuokoa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ