Mapendekezo: Baraza la Mawaziri

Naamini yupo huyo Waziri na inawezekana. Labda utupe uzoefu wako kama umewai kuingia kwenye vikao vya Baraza la Mawaziri.

Usisahau kutupa ushahidi wa wizi wa Bashe maana Bado tunausubiri!
 
Sahihi kabisa! Utalii is all about creativeness na exposure!
 
Aliiba nini kwenye bao la mkono?
Waliiba kura! Wakati wao wakiruhusiwa na "clone tallying center ya matokeo ya NEC", ofisi za UKAWA zilivamiwa na vitendea kazi kchukuliwa.
Wizi ni wizi lakini wizi wa kura za maamuzi ya wananchi ni laana!
 
Waliiba kura! Wakati wao wakiruhusiwa na "clone tallying center ya matokeo ya NEC", ofisi za UKAWA zilivamiwa na vitendea kazi kchukuliwa.
Wizi ni wizi lakini wizi wa kura za maamuzi ya wananchi ni laana!
Weka ushahidi! Usilete maneno ya mtaani
 
Hii ncni wajinga hawataisha na siku wakiisha itakuwa mwishonwa Dunia, Kwa katiba hii unategemea Waziri afanyeje? Kwa hio mnakaaa vijiwe vya kahawa mnadanganyana tatizo ni mawaziri? Kwamba tatizo ni January Makamba au Mwiguru? kwani misiseme tatizo ni katiba? Hao wakina Makamba si kuna mtu wana report kwake? Yeye kama anawataka wewe una shida gani?
 
Wewe u KIPOFU unayedhani unaona.

KIMEI na baadhi ulowataja ktk upofu wako wataingia soon kuinusuru kuzama Kwa JAHAZI.
Kwenye hihii katiba ya sasa? Au mnazungumzia nini? Ficheni ujinga wenu basi
 
Kwa iyo wewe huoni shida kwenye wasimamizi wa sera na watu wanaotoa maamuzi ya mwisho kupitia chombo kinachoitwa baraza la mawaziri?

Basi shida kubwa unayo wewe!
 
Hivi January Makamba hanaga proffession?
Maana kwingine kote naona umewataja kwa sifa ikiwemo taaluma, Ila kwa huyu mwamba naona Kama umepata kigugumizi[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Kwa katina hii hata ungeweka waziri wa aina hani haisaidii chochote kile, mtaendelea kudanganyana kwamba changamoto za nchi hii ni Mawaziri
 
Stupidity thread
 
Kama Kimei hafai basi CRDB ingekuwa benki mufilisi sasa
Crdb na kuendesha nchi viko sawa? Nyie hizi akili za kipimbi mnazitoa wapi? Hii ncho ina vilaza sana eti, Kwa akili zako unaona mtu anaye manage vyema kampuni basi anaweza simamia Serikali?/ kwa katiba ipi? Acheni ujinga komaeni mpate katiba mpya,
 
Hii nchi hata Mungu akaja kuwa Waziri still bado matatizo yatakuwa pale pale,
 
Apewe tuone. Hayo mengine ni ramli tu
Nyie wajinga sikilizeni Mataifa mengine Waziri anaenda kusimamia Sera za nchi na si mawazo yake, hakuna nchi ambauo waziri eti anaenda ku implement mawazo yake pale, nyie komaeni mpate katiba mpya, hizi ngonjera hazisaidii kitu
 
Hii nchi shisa sio Mawaziri, kuna wajinha wanazami Mwihuru ndio Tatizo, kwani Mwiguru kafanya mapinduzi nankuwa Waziri wa pesa?
 
Maraisi waanavyo enda kwenye kongamano la uchumi huwa ni wachumi? Hivi kwa akili yako unaamini shida ya hii nchi ni mawaziri? Huyo bosi wao mbona humsemi? Awamu iliopita Mkuu wa nchi si alikuwa ndio Waziri wa kila wizara unasemaje hapo?
 
Kikwete ndio kakutuma uje kupost huu upuuzi?

Serikali hii inatakiwa ipitishe katiba mpya ile ya warioba halafu ijiuzulu mara moja uchaguzi uitishwe ili nchi ipate viongozi halali.
Huyu ni mjinga, na wajinga wenzake humu watamuina kayoa hoja za maana
 
Crdb na kuendesha nchi viko sawa? Nyie hizi akili za kipimbi mnazitoa wapi? Hii ncho ina vilaza sana eti, Kwa akili zako unaona mtu anaye manage vyema kampuni basi anaweza simamia Serikali?/ kwa katiba ipi? Acheni ujinga komaeni mpate katiba mpya,
Sasa ulitaka awe na uzoefu wa kuendesha nchi? Una akili wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…