KARLO MWILAPWA
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 2,789
- 4,951
Tumeona mabadiliko yalifanywa katika wizara au mamlaka ya kupunguza ukubwa wa taasisi au wizara ili kuleta tija na ufanisi.
Tumeona wizara iliyokuwa nishati ya nishati na madini ikigawanywa katika wizara ya nishati na wizara ya madini, iliyokuwa wizara ya ujenzi na uchukuzi ikigawanywa katika wizara ya uchukuzi na wizara ya ujenzi na kwa upande wa mamlaka iliyokuwa mamlaka ya udhibiti wa usafiri nchi kavu na majini ikigawanywa kama LATRA(Mamlaka ya Udhibiti Usafiri ardhini ) na TASAC( ikihusika na udhibiti wa majini).
Ninapendekeza Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA ) igawanywe na kuwa Mamlaka ya mapato ya ndani na mamlaka ya mapato ya nje for better performance.
Tumeona wizara iliyokuwa nishati ya nishati na madini ikigawanywa katika wizara ya nishati na wizara ya madini, iliyokuwa wizara ya ujenzi na uchukuzi ikigawanywa katika wizara ya uchukuzi na wizara ya ujenzi na kwa upande wa mamlaka iliyokuwa mamlaka ya udhibiti wa usafiri nchi kavu na majini ikigawanywa kama LATRA(Mamlaka ya Udhibiti Usafiri ardhini ) na TASAC( ikihusika na udhibiti wa majini).
Ninapendekeza Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA ) igawanywe na kuwa Mamlaka ya mapato ya ndani na mamlaka ya mapato ya nje for better performance.