Mapendekezo: Iundwe tume kufatilia urasimu uliopo Muhimbili unaopelekea wagonjwa hasa wenye magonjwa dume kukosa haki ya kuendelea na matibabu

Mapendekezo: Iundwe tume kufatilia urasimu uliopo Muhimbili unaopelekea wagonjwa hasa wenye magonjwa dume kukosa haki ya kuendelea na matibabu

Waambie wapinzani wenzio kuwa bibi huyu ikimuuliza juu ya katiba mpya haelewi chcht.

Bibi huyu angewaelewa iwapo mngepigania maslahi ya wananchi.

Na kupigania mnapaswa kuanza leo. Binafsi ukiitisha maandamano ya kupigania kupewa matibabu bure kwa wagonjwa wenye magonjwa dume kama vile saratani, figo nitashiriki. Lkn sitoshiriki kwa kupigania katiba mpya

Ukiitisha maandamano ya kutetea wamachinga kujengewa maeneo rafiki kwa biashara zao nitashiriki lkn sitoshiriki kwa kupigania tume huru.
Mkuu upo sahihi kabisaaa.
Lengo la msingi ni bibi yetu huyo na wananchi aina hiyo kuanza kupata haki zao za kimsingi za kuhudumiwa kama ambavyo matarajio yao yalivyo.

Pia naamini kuwa hatua ya kuweka uzi ni kusimama upande wao naamini lengo halikuwa kuamsha hisia za kisiasa kwenye hili jambo.

Mimi nilisoma maoni yote juu yangu nikaona kila kitu kimeandikwa hadi sehemu ya mawazo niliyotaka kusema. Lakini nikakumbuka ilani ya chama changu CCM imeelekeza jambo muhimu la utoaji wa afya na hususani wazee kuzingatiwa kwenye huduma na ule mfumo wa bima ya afya kwa wote vimesawiri hilo.

Hili jambo linashawishi ushawishi ndani ya tafakuri kuwa, utekelezaji wa ilani ya CCM ni jambo ambalo kamwe haliwezekani kwani hali hiyo hapo hospitali ni matokeo ya uvurundwaji wa kusimamia huduma za afya. Hapo Ustawi wa Jamii wanasubiri tamko la Waziri au Rais waweze kumpa bibi yetu na wwtu wemgine ambao wamewaweka vizuizini kwenye hospitali zetu.

Nimeweka maoni yangu huru kuwa huu ukatili dhidi ya binadamu unafanyika bila hata kustuka ni kwa ssbabu CCM ipo bize kukopa na kugawana hiyo mikopo badala ya kuipeleka kufanyakazi iliyokusudiwa.

Hivi unamzuia mama mzee hospitali na hamumpi chakula. Hauoni kama hao ni wauaji?

My opinion based on such
 
Huyo mama ameniuma sana..Mungu atasaidia na atatoka..
 
Matibabu ya bure yanatoka wapi nchi hiyo? we unmeona namna wanavyonunua ma viieite mapya yale yana makalio kama nyani 70 Anniversary moja 450milioni hadi 500, unadhani kuna anayejali matibabu ya hao wazee? Bongo ukiugua ukizeeka kama huna hela ni DEATH PENALTY, akili ndogo sana kuongoza kubwa ni shida mno.
 
Tunaloelekea, Hospital zitataka zipokee pesa kama deposit kabla hawajaanza kumtibu mtu asiye na bima

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Msaidie bibi huyo afate taratibu za kuomba msamaha ,kuazia ngazi ya Kijiji anakotokea kwamana ya utambulisho nk
 
Waambie wapinzani wenzio kuwa bibi huyu ikimuuliza juu ya katiba mpya haelewi chcht.

Bibi huyu angewaelewa iwapo mngepigania maslahi ya wananchi.

Na kupigania mnapaswa kuanza leo. Binafsi ukiitisha maandamano ya kupigania kupewa matibabu bure kwa wagonjwa wenye magonjwa dume kama vile saratani, figo nitashiriki. Lkn sitoshiriki kwa kupigania katiba mpya

Ukiitisha maandamano ya kutetea wamachinga kujengewa maeneo rafiki kwa biashara zao nitashiriki lkn sitoshiriki kwa kupigania tume huru.
Hicho inachokitaka kwanini hautaki kiwe rasmi ndani ya katiba badala ya kumshukuru rais kwa kutoa hisani ya muda.
 
Hicho inachokitaka kwanini hautaki kiwe rasmi ndani ya katiba badala ya kumshukuru rais kwa kutoa hisani ya muda.
Nakubaliana na wewe kwa 100% na naunga mkono. Shida iliopo ni mbinu zinazotumika sasa kuihamasha katiba mpya kwa uoni wangu haziguzi hisia na maisha yao moja kwa moja ya kila siku. Kwa hiyo nadhani tunahitaji approach mpya.
Mimi ni miongoni mwa watz wenye maoni tofauti na ccm. Lkn approach ya sasa ya wapinzani sikubaliani nayo.

Na pamoja na kujaza watu kwenye mikutano inayoendelea. Lkn tunaweza kujifunza kitu kutoka kwa uchaguzi wa Nigeria. Wapiga kura ni 95mil. Waliopiga Kura ni 25mil. Kwa hiyo nusu na robo ya walipaswa kupiga kura hawakupiga. Kwasababu wanasiasa approach yao ni kuangalia uchaguzi uliopita na uchaguzi ujao.

lakini hawagusi moja kwa moja hisia za wananchi. Hii ndio observations ninayoiona ktk mwenyendo wa wanasiasa wetu.
 
Nakubaliana na wewe kwa 100% na naunga mkono. Shida iliopo ni mbinu zinazotumika sasa kuihamasha katiba mpya kwa uoni wangu haziguzi hisia na maisha yao moja kwa moja ya kila siku. Kwa hiyo nadhani tunahitaji approach mpya.
Mimi ni miongoni mwa watz wenye maoni tofauti na ccm. Lkn approach ya sasa ya wapinzani sikubaliani nayo.

Na pamoja na kujaza watu kwenye mikutano inayoendelea. Lkn tunaweza kujifunza kitu kutoka kwa uchaguzi wa Nigeria. Wapiga kura ni 95mil. Waliopiga Kura ni 25mil. Kwa hiyo nusu na robo ya walipaswa kupiga kura hawakupiga. Kwasababu wanasiasa approach yao ni kuangalia uchaguzi uliopita na uchaguzi ujao.

lakini hawagusi moja kwa moja hisia za wananchi. Hii ndio observations ninayoiona ktk mwenyendo wa wanasiasa wetu.
Wewe ni kati ya wanaodhani katiba ni kwa ajili ya siasa tu, hawajui kuwa katiba inabeba mambo yote ya wananchi kwa saa 24, ikiwa na maana ni haki yako kuchagua muda wa kulala na kula, pia kusafiri wakati wowote bila kulazimika kutoa taarifa polisi. Katiba inabeba haki ya wewe kupata huduma ya tiba kulingana mlivyokubaliana bila ya kutegemea hisani ya mama Samia.
Mwisho katiba haitengenezwi na viongozi wa Chadema kama unavyodhani, katiba hutengenezwa na wananchi wote kwa haki sawa bila kuhusisha vyama vya siasa, vikundi vya dini au kabila, usipotoshwe na wanasiasa, kuwa na msimamo wako usiokuwa na mtazamo wa kisiasa.
 
Wewe ni kati ya wanaodhani katiba ni kwa ajili ya siasa tu, hawajui kuwa katiba inabeba mambo yote ya wananchi kwa saa 24, ikiwa na maana ni haki yako kuchagua muda wa kulala na kula, pia kusafiri wakati wowote bila kulazimika kutoa taarifa polisi. Katiba inabeba haki ya wewe kupata huduma ya tiba kulingana mlivyokubaliana bila ya kutegemea hisani ya mama Samia.
Mwisho katiba haitengenezwi na viongozi wa Chadema kama unavyodhani, katiba na wananchi wote kwa haki sawa bila kuhusisha vyama vya siasa, vikundi vya dini au kabila, usipotoshwe na wanasiasa, kuwa na msimamo wako usiokuwa na mtazamo wa kisiasa.
Nakubaliana na wewe kwa 100%
 
Back
Top Bottom