Achapombe cha pombe
Member
- Feb 11, 2023
- 96
- 182
Watambue degree za sector mbalimbali kuliko kukomaa na degree za education na Mambo ni yale yale.
Wadau mbalimbali wa elimu wamekuwa wakilalamikia mfumo wa sasa wa Elimu ya Tanzania.
Jamiiforums kama mdau mmoja wapo wa elimu na mabadiliko inatoa fursa kwa Wanachama wake na umma kwa ujumla kutoa maoni yao juu ya nini hasa kibadilike katika mfumo wa elimu uliopo.
Ili kupata nafasi hii tafadhali jiunge nasi katika Mjadala wa TwitterSpace ya JamiiForums utakaofanyika tarehe 16 Februari, 2023 kuanzia saa 12:00 jioni mpaka saa 02:00 Usiku.
Pia, unaweza kuandika maoni yako kwenye uzi huu ambayo yatasomwa siku ya mjadala.
Karibuni.
Kwa mfano bachelor of information technology akiwa na diploma atambulike. Ni mwl mzuri wa ICT
Bachelor of history. Atakuwa na hata certificate of education bachelor yake itambulike. Ni mwalimu mzuri wa history
Ni mpuuzi pekee ataona degree hiyo tofauti Haina mchango kwenye umahiri wa mwalimu