Mapenzi bila kufanya mapenzi hata hainogi....!!!

Mapenzi bila kufanya mapenzi hata hainogi....!!!

Hua mnakua kama hamtaki kabisa ukuni yani hamtaki kabisaa basi na sisi tunawaacha
Naamaanisha mtu ambae mpo katika uhusiano kabisa mshatongozana mkakubaliana, ila miti hakuna....
Sio hiyo ya kukimbizana kama jogoo na mtetea sitaki nataka
 
Eve bhana! Ndo nani huyu Angelo? Nimesoma hapo kwenye posti yako sikuelewa sana anaingia vipi. Hebu nielimishe kidogo ticha.
Character mmoja kwenye tamthilia ya kifilipino jina silikumbuki sijui long wait sijui nini alikua akiitwa Angelo
 
Eti unakua na mpenzi ila hata hamueleweki wahindi si wahindi kuch kuch hotahe zisizoisha, wafilipino si wafilipino Cielo sio Angelo sio ila mpo tu mapenzini.
Kukicha ni meseji tu nakupenda nakupenda pia, nakumiss nakumiss pia, umeshindaje salama, usiku mwema nakupenda sa ndo manini??!

Mapenzi bila kufwanya hainogi hata, mnakua mmepoaa ni kama msosi usio na chumvi, ni kama mboga za majani bila kitunguu zinakua kama mitishamba tu, mapenzi yanakosa ladha kabisa, kufwanya kunaleta amsha amsha mapenzini panachangamka mioyo inafurukuta tu muda wote, mtu haufanyi unapoaa masikini hadi moyoni panapata vumbi.

Halafu mtu asieomba mi huwa simuelewi hata, enzi za ujana wangu nlishawahi kuwa na dizaini hii ya kifilipino anakuja ananibusu ananishika anasepa, muda wote ananicheki, akipiga simu nisipokee anamind yani ugomvi hasa, yanapita anakuja nawaza labda ataomba atanikiss atanishika anaaga, nikawaza huyu sijui ni katibu mwenezi wa chaputa!! Nami nlikua kama sista nikawa namcheki tu tuliendelea na ufilipino kama miaka miwili hivi tukapotezana.

Mapenzi ni purukushani kufwanya buana, mapenzi ni miti buana sio kushangaana shangaana tu tunakanyagiana waya na kumaliziana unit bureeee!!!!!!
Dah...Kama miamala nayo haisomi hakuna shida...
 
Naamaanisha mtu ambae mpo katika uhusiano kabisa mshatongozana mkakubaliana, ila miti hakuna....
Sio hiyo ya kukimbizana kama jogoo na mtetea sitaki nataka
Kama hivyo basi mkuyenge unashida, wewe kipindi anakubusu anakushika anasepa ulikua huon mdindisho ukajisevia zako, au alikua nae chama kubwa na unajua
 
Eti unakua na mpenzi ila hata hamueleweki wahindi si wahindi kuch kuch hotahe zisizoisha, wafilipino si wafilipino Cielo sio Angelo sio ila mpo tu mapenzini.
Kukicha ni meseji tu nakupenda nakupenda pia, nakumiss nakumiss pia, umeshindaje salama, usiku mwema nakupenda sa ndo manini??!

Mapenzi bila kufwanya hainogi hata, mnakua mmepoaa ni kama msosi usio na chumvi, ni kama mboga za majani bila kitunguu zinakua kama mitishamba tu, mapenzi yanakosa ladha kabisa, kufwanya kunaleta amsha amsha mapenzini panachangamka mioyo inafurukuta tu muda wote, mtu haufanyi unapoaa masikini hadi moyoni panapata vumbi.

Halafu mtu asieomba mi huwa simuelewi hata, enzi za ujana wangu nlishawahi kuwa na dizaini hii ya kifilipino anakuja ananibusu ananishika anasepa, muda wote ananicheki, akipiga simu nisipokee anamind yani ugomvi hasa, yanapita anakuja nawaza labda ataomba atanikiss atanishika anaaga, nikawaza huyu sijui ni katibu mwenezi wa chaputa!! Nami nlikua kama sista nikawa namcheki tu tuliendelea na ufilipino kama miaka miwili hivi tukapotezana.

Mapenzi ni purukushani kufwanya buana, mapenzi ni miti buana sio kushangaana shangaana tu tunakanyagiana waya na kumaliziana unit bureeee!!!!!!
Wanzinzi wote sehemu yao ni kwenye lile ziwa liwakalo moto
 
Tuamini nini? A. Try your luck
B. Kiss and say goodbye..
uki try your luck utaambiwa uko so fast.
 
HAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHA.
Usipoomba si nakubaka tu.
Umepewa passport safiri aiseee!!.
Igonge muhuri mpk wakupe nyingine ujaladie!!

Safiri tu aiseeh!!
Tairi zima.
Mafuta full tank
Udereva unajua
Spea safiiiii
Niiiiini tens kimebaki?
Kanyaga twende babaaa!!
 
HAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHA.
Usipoomba si nakubaka tu.
Umepewa passport safiri aiseee!!.
Igonge muhuri mpk wakupe nyingine ujaladie!!

Safiri tu aiseeh!!
Tairi zima.
Mafuta full tank
Udereva unajua
Spea safiiiii
Niiiiini tens kimebaki?
Kanyaga twende babaaa!!
Hafu wa hivyo ni ule unampenda sanaa eti unamvumbika tu unagonga kwingine

Bila kujali na yeye anatamani mwiaho akutane na msela amle kisela ndo kupotezewa bila kuambiwa kosa lako
 
Back
Top Bottom