Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Inashangaza sana mkuu, halafu inakata mzuka wa kuwa na manzi kama huyo kwenye mahusiano.Wanawake wangejua hili wangeshanidaka. Mtu day 1 tu vizinga kibao
Hakuna mwenye hasira. Wewe kama unauza kumer sema tu from the first acha janja janja za kuhalalisha umalaya wako eti ambae haumpendi ndio unakula hela zakePunguza hasira,,ukiitwa Malaya hauoti upele bro
Haiuzwi Wala haitolewi Bure ndio utajua hujuiHakuna mwenye hasira. Wewe kama unauza kumer sema tu from the first acha janja janja za kuhalalisha umalaya wako eti ambae haumpendi ndio unakula hela zake
Hata wewe veterans unaogopa vibomu bwana? vibomu wanaogopa wanamgambo😁😁😁Kwa nini jamani? Sasa mbona mnatupiga vibomu kama ishu ni attention sii mnapata
Sina hela ndio maana naogopa. Ukiwa na hela mbona vibomu unampa tuu mrembo akupee mbususuHata wewe veterans unaogopa vibomu bwana? vibomu wanaogopa wanamgambo😁😁😁
Sasa, hata zamani walikuwa wanabadilishana mchele na mahindi nashangaa siku hizi hamtaki kubadilishanaSina hela ndio maana naogopa. Ukiwa na hela mbona vibomu unampa tuu mrembo akupee mbususu
Kwa sisi wanaume ambao hatuombwi pesa sijui tusemeje, life haiko fair kabisaNdugu zangu wa kiume hivi ni kwangu mimi tu au na nyinyi inawakuta manaa dah nina mpenzi japo sina uhakika kama ni wangu kweli ila nisipompa pesa naona kabisa uchangamfu wake kwangu unapungua kabisa, hata simu kupiga haoigi anakuwa busy na sababu kibao na sio huyu tu ni demu wapili napata yupo hivi hivi bila pesa nakuwa sina tofauti na mtu aliye single😀
Sasa nawauliza ni huyu wangu au hata nyinyi mademu zenu ni hivyo hivyo?
Tatizo pia vibomu mwatupiga sie ambao hamtupendi mbona hao mnaowapenda mnazipelela mbususu bila ata kuomba hela ya nauli?Sasa, hata zamani walikuwa wanabadilishana mchele na mahindi nashangaa siku hizi hamtaki kubadilishana
Sijui kwa Nini nimesikia huzuni,nikikumbuka yule mpenzi A ambavyo namuonea,ni mabomu tuu,wakati mpenzi B yaani hata natamanigi nimnunulie mwezi nimpe ,sitaki hata kumi yake🙄🙄🙄Tatizo pia vibomu mwatupiga sie ambao hamtupendi mbona hao mnaowapenda mnazipelela mbususu bila ata kuomba hela ya nauli?
Kilio chetu ni kwamba kama hamtufeel basi msituombe hela...kasakeni attention kwa hao hao mnao wapenda
Hivi mnavijua viapo vya ndoa....... ukivisoma viapo vya ndoa vinareflect utu, upendo husiojali chochote hayo ndio mapenzi na huko ndipo kupendwa. Kinyume cha hapo utakuwa unanunua ngono kwenye kwa mpenzi wako.ndio maana nzima ya uwajibikaji, mwanaume lazima uwe muwajibikaji kuanzia maisha yako binafsi hadi kwenye mahusiano. Nje na hapo unatafsiriwa kuwa unakwepa majukumu yako.
Katika hao wachache chagua mmoja wanaobaki waachie wenzioKweli ila ni wanawake wachache sana wanaotambua hilo.
Mbona hampendi kuambiwa ukweli mkuu. Mwanamke anayekupenda kwa dhati hawezi kuwinda vipesa vyako. Hili nimeli experience na wala sijahadithiwa.Hakuna mwenye hasira. Wewe kama unauza kumer sema tu from the first acha janja janja za kuhalalisha umalaya wako eti ambae haumpendi ndio unakula hela zake
Sawa mkuuKatika hao wachache chagua mmoja wanaobaki waachie wenzio
Ndio mambo yenu hayoSijui kwa Nini nimesikia huzuni,nikikumbuka yule mpenzi A ambavyo namuonea,ni mabomu tuu,wakati mpenzi B yaani hata natamanigi nimnunulie mwezi nimpe ,sitaki hata kumi yake🙄🙄🙄
🤣🤣🤣🤣Unajua sababu?Ndio mambo yenu hayo
Elaborate plzzz🤣🤣🤣🤣Unajua sababu?
Nigharamie kwa utamu gani. Kumer zenyewe ndo hizi hizi zinazonuka shombo ya samaki au mna kumer zingine ambazo hatuzijui?Haiuzwi Wala haitolewi Bure ndio utajua hujui
Hayo maneno wanaongea street kids wasio na mama,dada,au shangazi!Je we ni Mmoja wao?Nigharamie kwa utamu gani. Kumer zenyewe ndo hizi hizi zinazonuka shombo ya samaki au mna kumer zingine ambazo hatuzijui?
[emoji3][emoji3][emoji3] anzisheni movement za kutaka kuombwa helaKwa sisi wanaume ambao hatuombwi pesa sijui tusemeje, life haiko fair kabisa