Mwandwanga
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,059
- 1,572
Kwa Sheria ipi ndugu, itakuwa vyema ukicite na kifungu cha sheria husika.Kijana hajui hayo ni makosa ya kimtandao ngoja afungwe ndio apate akili.
Na baba mkwe kavunjanje ndoa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Sheria ipi ndugu, itakuwa vyema ukicite na kifungu cha sheria husika.Kijana hajui hayo ni makosa ya kimtandao ngoja afungwe ndio apate akili.
Na baba mkwe kavunjanje ndoa?
Ila kwenye bango kaweka picha yake na huyo mwanamke ,kwahiyo baba mkwe anajulikana ni yupiIla hajataja mtu
Huyo alishtakiwa atakaa ndani soma sheria ya makosa ya mtandaoKwa Sheria ipi ndugu, itakuwa vyema ukicite na kifungu cha sheria husika.
Hajataja jina sasa ni baba mkwe yupi anayelalamika?Siku zote natamani sana sana nchi yetu ingekua na vitengo vya wanasihi, sio kila kitu kinahitaji polisi na kutumia nguvu. Mfaano mzuri ni huyu kijana ambaye kwa majibu wake ni kwamba Baba mkwe kavunja ndoa yake iliyodumu tangu 2012-2021. Miaka Tisa ya mahusiano si michache.
Katika kutafuta relief ameprint ujumbe wake na kuuweka kwenye bajaj, mke kaenda kutoa report polisi. Dogo kaitwa, katoka hapo kapost status, huyu anahi
Aiseee tumshukuru Mungu kwa hilo kwa kweli,yaani mtu unajikuta huna hela,huna maisha yoyote ya maana lakini unanenepeana tu,nchi hii nzuri sanaJaman kuishi TANZANIA ni bahati KUBWA mno hata kama huna pesa ila fraha iko pale pale[emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059] [emoji1241][emoji1241][emoji1241]
But he is a victim tooKijana hajui hayo ni makosa ya kimtandao ngoja afungwe ndio apate akili.
Na baba mkwe kavunjanje ndoa?
Huuu msemo haunaga uhalisia siku yakikukuta. Unaona uko peke yako, wanakua wengi kama una hela! Kama huna aaghPole zake Wanawake wako wengi mno aachane na yaliyotokea asonge mbele.
Hujaona wala kusikia ndoa zenye miaka zaidi ya 15 zikavunjika?Ani ekiselenti kwesheni [emoji16]
Familia labda. Kwa vile ndo jamii inataka. Watoto wa kukutunza ukizeeka. Mbususu ya uhakika...na mengineyo mengi [emoji16]
Ila kwa sasa inabidi ujipange hasa...kwa kizazi hiki ningekuwa mimi ningepiga marufuku vijana under 25 kuoana!
Hakika! Kwanza tujue ana miaka mingapi? Sympathy seeker!Baba mkwe alikua sahihi kuvunja hiyo ndoa ... Kijana hana busura, heshima na hekima hata kidogo inshort kijana hajastaarabika bado.
Yaani ndio keshajiharibia. Nani atathubutu kuingia mahusiano na mwanamume hana kifua cha kuhandle issues kiutu uzimaYaani wachuchu walivyo wengi hivi bado mtu anahangaika kupoteza hela na muda kuweka bango kubwa hivyo...
Mchuchu mmoja akizingua, unatafuta mchuchu mkali zaidi yake halafu unamuweka status bango kubwaaaa...
Ana hela huyu, huoni mpaka kaweza ku print bango!! Anunue kipindi cha Leo Tena atoe dukuduku lake.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Safi baba Aryan bado kubandika kwenye nguzo za umeme na kuta barabarani
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣Mwambie kesho akabandike hilo mabango kwenye mlango wa Baba Mkwe kabisa.
Sasa simpaka uwe na smart phoneJaman kuishi TANZANIA ni bahati KUBWA mno hata kama huna pesa ila fraha iko pale pale[emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059] [emoji1241][emoji1241][emoji1241]
Nimekuomba na kifungu ndugu yangu kinacho establish hilo kosa. Naomba Kifungu kinacho sema alichokifanya kijana ni Jinai chini ya Cyber Crime Act.Huyo alishtakiwa atakaa ndani soma sheria ya makosa ya mtandao