Hii ni Uzuri wa mkakasi ndani kipande cha mti.. Tofauti kabisa na shokshok ambayo ladha yake ni nyama tupu[emoji39]Watu wanapendwa asikwambie mtu, lkn wewe unatendwa na kupondwa.
Wanaumeeeeee! Mpo? Mwenzenu anapendwa mpk anawekwa kwenye bango lkn waengine hata kwenye phonebook hampo ama mme-seviwa kwa jina la "Guruwe ama Nguruwe"
Mapenzi kizunguzungu hata kwa wanawake maana wapo wanaohongwa majumba na magari lkn wenzangu na mie wanaambulia chips kuku na soda .
Wenda ulikuwa mpiga deki mzuriMimi niliseviwa dekio
Mkuu nime kutumia PM
Unajua ROBERT HERIEL alishasema maisha sio magum..Tatizo linaanzia pale watu mnapo force usawa...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi niliseviwa dekio
Watanzania mnapenda kupangia matumizi hela za wenzenu waliozitafuta kwa jasho laoNatamani huo hela ingeenda mahali ikainue walio kata tamaa na kuvunjika moyo kutokana na changamoto za maisha kwa ujumla.
Hio ingeweza kuonyesha thamani ya huyo anayempenda maana kuanzia huyo aliependa na ailependwa na watakao tokana nao wangepata faida ya kudumu kuliko hii.
Maneno ya kujifariji.Usiishi kwa kutaka kufanana na kila mtu, hicho kidogo anachokupa wenda kina thamani kubwa kuliko hicho kikubwa anachofanyiwa mwenzio.
Siku zote asiyekuwa na hela huwa anaona mwenye hela anavyotumia hela zake kama anazifuja hiviWatanzania mnapenda kupangia matumizi hela za wenzenu waliozitafuta kwa jasho lao