Mapenzi hayako Fair. Wakati mpenzi wa Zamaradi kawekwa kwenye bango la mil. 6, wengine hata kwenye phonebook hampo

Pesa za uchawi uwa hazitumiki kwy kusaidia watu, zaidi ya kufanya vitu ambavyo ni tofauti na mategemeo ya watu wenye shida. Kama Una ndugu ana pesa nyingi za kichawi chawi hawezi msaidia MTU kumtoa ktk matatizo. Na watu wengi sana, wana pesa za kichawi chawi na ndio Maana imekuwa, changamoto kuisaidia jamiii. Na hata viongozi wetu weusi, wengi wamepata uongozi kichawi chawi na Ndio maana wanashindwa kuwasaidia watu. Iyo ichukue kama [emoji769] Theory [emoji769]
 
Love is just brain illusion. Majumba, mabango, magari ni upepo tu. Ukiona kwa jicho la tatu utaona love haiitaji vyote hivyo.
 
Asante bro nimeichukua!
 
Utashangaa ukijua ukweli wa mambo. Hujui yawezekana hao wanaowekana kwenye mabango nyuma ya pazia wanapitia yapi. Ukiishi kwa kuangalia maisha ya kwenye mitandao na celebrities utakufa siku sio zako. Hata huku mitaani kuna watu wanafake sana kupendana ili tuu waonekane wanapendana lakini nyuma ya pazia kama ni ndoa zilishasambaratika kitambo
 
Kama unapata huduma zote muhimu mengone ni chaguo binafsi tu, haimaanishi wewe uko nyuma.
 
Siku zote asiyekuwa na hela huwa anaona mwenye hela anavyotumia hela zake kama anazifuja hivi
,au mtu katoka machimboni almanusura aangukiwe na kifusi unamkuta baa ameweka kreti ya bia mezan unaanza kujisemesha "hivi bei ya kreti si bora angenunua unga akapeleka nyumban kwake"

au mtu amevaa vizuri mara oo hana hata nyumba ila kila siku anabadili nguo


tunasahau kama kila mtu ana mfumo wake wa maisha anaoupenda yeye
 
Kuna siri kubwa sana katika upendo au chuki;
1. Ukimpenda mtu sana, kuna uwezekano mkubwa sana kwa 85% upendo huo utakurudia...nimeweka asilimia hizo kwani sio lazima upendwe ukipenda.
2. Ukimfurahisha mtu kuna silimia kubwa hiyo furaha atakurudishia.

Hivi huyu baba angekua anampiga Zama au hamtunzi, au hamchukulii udhaifu wake angempenda kiasi hiki?
 
Hawa watu maarufu wa hapa nyumbani huwa wananishangaza mno.

Wanatusumbua weee.

Halafu huko mbeleni wanarudi tena tuwachangie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…