Mapenzi hayako Fair. Wakati mpenzi wa Zamaradi kawekwa kwenye bango la mil. 6, wengine hata kwenye phonebook hampo

Mapenzi hayako Fair. Wakati mpenzi wa Zamaradi kawekwa kwenye bango la mil. 6, wengine hata kwenye phonebook hampo

Ukimuangalia Zama unaona kabisa ana ka ujeuri,mi nahisi kuna vita vya kumgombania huyo jamaa na Zama anadhani siraha yake ni pesa.
 
Mambo yao waachie wenyewe...

Nguvu nyingi akili kisoda...
 
Back
Top Bottom