unahitaji kufundishwa hili, seriously!
Ntarudiiii....
Una hela?gari nzuri unayo? Nauliza kwa sababu ukiwa au hauna hivyo vitu utongozaji unatofautiana sana.
Hela kiasi na gari ninalo
Achana na punyeto kwanza
Nitawabemenda watoto, ntakuambia mahali pengine ukija kutembea, ukija uje na ExcelEvelyn Salt sasa naomba niambie maana ya lile neno
Teh teh hakuna uswahili hapo, ni ushauri nasaha bila vipimo.
tunakusubiri mwaaaaaaaaaalimuuuuuuuu!!