Ziko poa, Namba tatu hiyo mmmmhhh nimecheka, hiyo ya aishipo mtu bora iulizwe sio siku ya kwanza labda kama kuna ofa ya kumshusha. Wanawake wengine uendelea kuanalaizi maongezi, looks, etc baadae
Mie nadokezea wanapotongoza/wakipata jiko wawe na, no harufu na usafi wa mwili muhimu makwapa pia, uvaaji, wasimamavyo, wanavyokaa, usafi wa uso na nywele lazima kukata jamani, kama wanakuweka wewe kwanza ktk vitu vidogo hata mkiwa date, anayechangamsha ubongo kuweka vi ??? Kwa mwanamke hadi anaanza maswali ya wivu, kutojionesha upo freeee kama hauna cha kufanya duniani.
Na ile kila asemacho mwanamke unatekeleza hata ukiombwa kuamka at 4am duh unaamka kama jinga kwa kukubali huku unayamuhimu yako early. Kuonyesha una viprinciple fulani, kuosha mikono baada ya haja ndogo, viatu visijae mavumbi hata kama hauna gari (futa).
Jitahidi uchenji noti kubwa kubwa uwe na ndogo ndogo(wengi kubwa kujionyeshea kindani mchararo wakubwa, ukiwa nazo usijuionyeshe unazooooo) kuwa wewe.
No story za kujionyeshea onyeshea kimaisha au kutafuta kila mbinu kuonyesha ukoje au ulipata grades zipi shule kama pesa hukuzaliwa nayo etc