Mapenzi: Jinsi ya kumtongoza mwanamke unayemtaka na ukampata kwa urahisi

Mapenzi: Jinsi ya kumtongoza mwanamke unayemtaka na ukampata kwa urahisi

Hayo yalikuwa zamani sana !!! leo hiii nakuhakikishia bila hata kusema neno moja wewe kata tu ndululu, na baadaye sema nikute hotel fulani saa fulani atakuja na yuko tayari na wala haulizi kulikoni!! Peaa bwana mapenzi yalikuwa zamani!!
 
Mi natafuta mwanamke anitongoze. Mwaka huu sijatongozwa na mdada yeyote
 
Duuu!nimetumia kila njia ya kumpenda mwanamke lakini hanielewi sijui tatizo langu nini, naombeni msaanda wenu niwe na sifa gani niweze kukubalika?
 
Mambo Kyalow, yaani honey ninavyokupenda basi tu, hebu leo jioni tuonane pale nyumbani Lounge angalau tu nione sura yako darling, muhimu usikose baby

Mi natafuta mwanamke anitongoze.....mwaka huu sijatongozwa na mdada yeyote
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom