Mapenzi: Jinsi ya kumtongoza mwanamke unayemtaka na ukampata kwa urahisi

Mapenzi: Jinsi ya kumtongoza mwanamke unayemtaka na ukampata kwa urahisi

poor-me_fb_1176722.jpg
Ni kweli mkuu,kuna watu fedha siyo ishu kwao!
 
Duuh! sasa mkuu hili somo siungetuita falagha wanaume wenzio tu na kutupa hili darasa!, Maana naona wanaweke wenyewe tayari wameshaanza kuipitia kabla hata sisi walengwa bad😵fu yangu watabadili mbinu ya kunaswa hawa.
 
duuh! sasa mkuu hili somo siungetuita falagha wanaume wenzio tu na kutupa hili darasa!, Maana naona wanaweke wenyewe tayari wameshaanza kuipitia kabla hata sisi walengwa bad😵fu yangu watabadili mbinu ya kunaswa hawa.
Mkuu wazungu wanasema nature is order,you can't go against nature!
 
Kweli teknolojia inapanuka jamani,mambo yanazidi kua mepesi. Mmeshatafuniwa kazi kwenu kumeza
 
Back
Top Bottom