Mapenzi: Jinsi ya kumtongoza mwanamke unayemtaka na ukampata kwa urahisi

Mapenzi: Jinsi ya kumtongoza mwanamke unayemtaka na ukampata kwa urahisi

Kila siku utakuwa unaongea hayo hayo tu huna cha kufanya muda wote ni mapenz tu.
 
Hayo yalikuwa zamani sana !!! leo hiii nakuhakikishia bila hata kusema neno moja wewe kata tu ndululu, na baadaye sema nikute hotel fulani saa fulani atakuja na yuko tayari na wala haulizi kulikoni!! Peaa bwana mapenzi yalikuwa zamani!!
Teh teh teh!kijijini wanaweza kukukimbia wakihofia wewe umekwenda kuwaambukiza ukimwi!
 
Kila siku utakuwa unaongea hayo hayo tu huna cha kufanya muda wote ni mapenz tu
Teh teh teh!mapenzi yanachukua sehemu kubwa sana ya maisha ya binadamu,labda mtu awe na matatizo ya kisaikologia kama wewe!
 
Hakuna ujanja kwenye kutongoza kizazi cha digitali, na njia pekee ambayo inaonesha mafanikio kwa angalau asilimia kubwa ni kumpa hela, we mpe hela akikohoa kidogo mpe hela yaani wewe ni hela tu kila akigeuka hela.

Na mwanamke kama humtaki mwanaume hata usimtukane wala kutompokelea simu ama vipi akijipendekeza tu muombe hela akipiga simu sijui baby nyokonyokonyoko omba hela.

Yaani we ukimuona anakusogelea tu hela, atakimbia tu
 
Jitambulishe kwanza ulikotoka, naona ndo kwanza una kamba mguuni

Duuu!nimetumia kila njia ya kumpenda mwanamke lakini hanielewi sijui tatizo langu nini, naombeni msaanda wenu niwe na sifa gani niweze kukubalika..?
 
Teh teh teh!Hii njia inaweza isilete mafanikio baadhi ya maeneo,kwa mfano wanawake wa kijijini kwetu wanaogopa sana wanaume wanaohonga fedha nyingi kwa huisi wana Ukimwi!

Siku hizi haipo mkuu, pochi mbele kama tai. Haijalishi mukijiji au jijini
 
Back
Top Bottom