Mapenzi: Jinsi ya kumtongoza mwanamke unayemtaka na ukampata kwa urahisi

Bonge ya mwongozo. Muhimu ni kuwa wewe na usijifanye ww ni mtu wa kujionyesha, wanawake wananusaaaa haooo, they can smell u r a fake jst by z first sentences. First impression lasts.
 

Dah! Umenikumbusha mbali sana. Kusuburia akitoka kisimani au kuokota kuni
 

Mtu kama huyu kumtongoza raha saaanaaaaa!

mzurimie no offence please!
 
Last edited by a moderator:
Haya wale madomo zege darsa ndo hilo lol....

Hii hata haisaidii, huyu jamaa muongo kweli. Mbinu ni moja tu, mpe mwanammke mihela, ukikutananae mwe mwaga minoti tu..akikubi laki,akikutumia sms ya gud nyt unampiga na mpesa ya elf 50.laki laki laki. Atakupenda daima.
 
hii hata haisaidii,huyu jamaa muongo kweli...mbinu ni moja tu....mpe mwanammke mihela...ukikutananae mwe mwaga minoti tu..akikubi laki,akikutumia sms ya gud nyt unampiga na mpesa ya elf 50.laki laki laki. Atakupenda daima
Kama kuna majaribio mi nioneshe huyo mwanamke wako we umpe mi hela tu mi ntafanya yangu ila tu usimueleze kuwa anawindwa!
 
hii hata haisaidii,huyu jamaa muongo kweli...mbinu ni moja tu....mpe mwanammke mihela...ukikutananae mwe mwaga minoti tu..akikubi laki,akikutumia sms ya gud nyt unampiga na mpesa ya elf 50.laki laki laki......atakupenda daima
Teh teh teh!Hii njia inaweza isilete mafanikio baadhi ya maeneo,kwa mfano wanawake wa kijijini kwetu wanaogopa sana wanaume wanaohonga fedha nyingi kwa huisi wana Ukimwi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…