Haya mzee, wacha nimtafute mmoja niangalie kama nimeelewa somo.
Mkuu unafanya Practical sio?!
Siku hatutongozi tunafanya kubeba tu. Jana nimekuta text kwenye simu yangu "hello" kutoka social network fulan nilipocheck nikavutiwa she was hot.. Amazing curves after 30 min of conversation nikavuta mzigo hao tukakutana zetu faragha. But it left with alot of qs why woman are so simple nowdays zamani tulikuwa tunaenda miezi hujapata unamvizia anatoka kisimani au anaenda machineni hahaha
Ziko poa, Namba tatu hiyo mmmmhhh nimecheka, hiyo ya aishipo mtu bora iulizwe sio siku ya kwanza labda kama kuna ofa ya kumshusha. Wanawake wengine uendelea kuanalaizi maongezi, looks, etc baadae
Mie nadokezea wanapotongoza/wakipata jiko wawe na, no harufu na usafi wa mwili muhimu makwapa pia, uvaaji, wasimamavyo, wanavyokaa, usafi wa uso na nywele lazima kukata jamani, kama wanakuweka wewe kwanza ktk vitu vidogo hata mkiwa date, anayechangamsha ubongo kuweka vi ??? Kwa mwanamke hadi anaanza maswali ya wivu, kutojionesha upo freeee kama hauna cha kufanya duniani.
Na ile kila asemacho mwanamke unatekeleza hata ukiombwa kuamka at 4am duh unaamka kama jinga kwa kukubali huku unayamuhimu yako early. Kuonyesha una viprinciple fulani, kuosha mikono baada ya haja ndogo, viatu visijae mavumbi hata kama hauna gari (futa).
Jitahidi uchenji noti kubwa kubwa uwe na ndogo ndogo(wengi kubwa kujionyeshea kindani mchararo wakubwa, ukiwa nazo usijuionyeshe unazooooo) kuwa wewe.
No story za kujionyeshea onyeshea kimaisha au kutafuta kila mbinu kuonyesha ukoje au ulipata grades zipi shule kama pesa hukuzaliwa nayo etc
Haya wale madomo zege darsa ndo hilo lol....
Kama kuna majaribio mi nioneshe huyo mwanamke wako we umpe mi hela tu mi ntafanya yangu ila tu usimueleze kuwa anawindwa!hii hata haisaidii,huyu jamaa muongo kweli...mbinu ni moja tu....mpe mwanammke mihela...ukikutananae mwe mwaga minoti tu..akikubi laki,akikutumia sms ya gud nyt unampiga na mpesa ya elf 50.laki laki laki. Atakupenda daima
Ndio mkuu, nikiweza nitaleta majibu
Haya wale madomo zege darsa ndo hilo lol.
Ni kweli mkuu hapa mzizi mkavu amemaliza kila kitu!Haya wale madomo zege darsa ndo hilo lol.
Teh teh teh! Kutongoza nayo ni sehemu ya maisha!ni bora kujifunza kupika kuliko kutongoza maisha haya
Ni kweli mkuu, lakini jamaa kwa kiasi kikubwa amemaliza mchezo wote!"za kuambiwa changanya na zako" prez jk
Mkuu unaweza kuvunja ndoa ya mtu!Kama kuna majaribio mi nioneshe huyo mwanamke wako we umpe mi hela tu mi ntafanya yangu ila tu usimueleze kuwa anawindwa!!!!!!
Mkuu hii siyo yenyewe,demu anaweza kutoka nduki!Smile kama hilo
Teh teh teh!mapenzi ni matamu sana kama wewe ulishawahi kutendwa shauri yako!Ingepatikana namna nyingine ya kuishi bila mapenzi ingekuwa mzuka sanaa.
Teh teh teh!Hii njia inaweza isilete mafanikio baadhi ya maeneo,kwa mfano wanawake wa kijijini kwetu wanaogopa sana wanaume wanaohonga fedha nyingi kwa huisi wana Ukimwi!hii hata haisaidii,huyu jamaa muongo kweli...mbinu ni moja tu....mpe mwanammke mihela...ukikutananae mwe mwaga minoti tu..akikubi laki,akikutumia sms ya gud nyt unampiga na mpesa ya elf 50.laki laki laki......atakupenda daima