Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uvccm wanasema 42 sio mzee
Hapana mnapiga sana shoo yakumzimisha mtu siyo yakukumbuka Kwa mazuri42 sio mzee.
Ni kijana bado.
Na mara nyingi hawa wanakuwa tayari stable kwenye maisha yao.
Wengi wameoa, wamejenga, wana watoto mashuleni, kama wapo kwenye ajira wameshapanda vyeo.
Kipato kimeleweka. Ndo hao mnakuta mnawapenda.
Vijana mnawaona pasua kichwa kwasababu bado hawajawa stable kimaisha.
Kipenzi sio wahumu humu hakunaga wote hawajiamini wapo tu but ngoja nisiwasemeeUkiona hivyo ujue kuna mtu anawindwa humu,,
haya wewe unayewindwa anza kufunguka huko kwenye pochi maramoja sio mpaka uanze kubembelezwa na nyuzi