Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Hivi wadau umewahi kuonja penzi la Mzee.
Sio Mzee 50 nope 45 kurudi chini. Like 42 halafu anayejiweka vizuri Kwa mlo ,mazoezi na muonekano.
Haloo kwanza Kwa harufu nzuri tu unadata ,bado mengineyo wazee wakikupa fulsa ya kuenjoy unaenjoy aisee sio nyie mnachezea kitu hadi mtu anaugua hii sio vizuri . Ila Hawa wanajulia mamboo yaani ni Raha mustarehe halafu kitu kikafanywa kitaamu hurukiwi kama Simba ambaye yuko mawindoni.
Mapenzi ni Raha kama umepata mtu wako anayekujulia .
mzabzab nyie wazee mkiamua siye mnatukosha
Sio Mzee 50 nope 45 kurudi chini. Like 42 halafu anayejiweka vizuri Kwa mlo ,mazoezi na muonekano.
Haloo kwanza Kwa harufu nzuri tu unadata ,bado mengineyo wazee wakikupa fulsa ya kuenjoy unaenjoy aisee sio nyie mnachezea kitu hadi mtu anaugua hii sio vizuri . Ila Hawa wanajulia mamboo yaani ni Raha mustarehe halafu kitu kikafanywa kitaamu hurukiwi kama Simba ambaye yuko mawindoni.
Mapenzi ni Raha kama umepata mtu wako anayekujulia .
mzabzab nyie wazee mkiamua siye mnatukosha