Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SUbiri kwanza ndio naandika uzi wetu tukajidai daiSisi ambao hatuna wapenzi wa miaka kwanzia 45 tunacomment wapi?
Fanya chap basi .usisahau kunitagSUbiri kwanza ndio naandika uzi wetu tukajidai dai
Mambo🥰Abee
Poa kabisa S …habari yako?Mambo🥰
Niko njema, naparangana, vipi wewe, umeshindaje? Pole na mihangaiko🥰Poa kabisa S …habari yako?
Muhimu kupalangana ndugu yangu.Niko njema, naparangana, vipi wewe, umeshindaje? Pole na mihangaiko🥰
Ni heri, inapendeza sanaMuhimu kupalangana ndugu yangu.
Mimi niko salama Mungu ni mwema sana kipande hii.nimeshinda salama kabisa.
Shurani sana
Hahahaha haya ukipata nitagNgoja niwatafute cute....maana mi kutafutwa sitaki
Mkafungue Uzi wenu wasifa za vijanaSisi ambao hatuna wapenzi wa miaka kwanzia 45 tunacomment wapi?
42 ni mzee?😳
Acha kumnenea kisichokuwepoWewe endelea na wazee wako, vijana wenzio watamkula mwanao wakifikia uzee
Vijana hela wanazohonga huwa zinawauma sana so wanataka kufidia kwa kuichakata kisawasawa 🤣🤣🤣Sisi vijana kama ulikua vya kwetu lazima ufidie. We work on compensation 😀😀😀 utajiju👌