Mapenzi matamu sana

Mapenzi matamu sana

Humu mnaringa na huku pp zenu zimelegea na kupauka yaani ukimwambia mtu accidentally mkapime afya akichekiwa mule doctor anakuja anadai mbona Ile inshu imelegea siutatoka njee .
 
MSIMAMO WANGU:-

Ujana au uzee ni maneno "subjective".

Kwa mfano, unaweza ukawa kijana lkn ukawa na fikra za kizee.

Na unaweza ukawa mzee (and the vice versa is true).

Hakuna neno msitu. Msitu ni muunganiko wa miti kadhaa.

Wachache watakuwa wamenielewa.
 
I hope wazee unamaanisha hawa hapa eti enh
Screenshot_2023-01-21_173929.jpg
 
Hivi wadau umewahi kuonja penzi la Mzee .
Sio Mzee 50 nope 45 kurudi chini .

Like 42 halafu anayejiweka vizuri Kwa mlo ,mazoezi na muonekano.

Haloo kwanza Kwa harufu nzuri tu unadata ,bado mengineyo wazee wakikupa fulsa ya kuenjoy unaenjoy aisee sio nyie mnachezea kitu hadi mtu anaugua hii sio vizuri . Ila Hawa wanajulia mamboo yaani ni Raha mustarehe halafu kitu kikafanywa kitaamu hurukiwi kama Simba ambaye yuko mawindoni.

Mapenzi ni Raha kama umepata mtu wako anayekujulia .

mzabzab nyie wazee mkiamua siye mnatukosha
 
Hivi wadau umewahi kuonja penzi la Mzee .
Sio Mzee 50 nope 45 kurudi chini .

Like 42 halafu anayejiweka vizuri Kwa mlo ,mazoezi na muonekano.

Haloo kwanza Kwa harufu nzuri tu unadata ,bado mengineyo wazee wakikupa fulsa ya kuenjoy unaenjoy aisee sio nyie mnachezea kitu hadi mtu anaugua hii sio vizuri . Ila Hawa wanajulia mamboo yaani ni Raha mustarehe halafu kitu kikafanywa kitaamu hurukiwi kama Simba ambaye yuko mawindoni.

Mapenzi ni Raha kama umepata mtu wako anayekujulia .

mzabzab nyie wazee mkiamua siye mnatukosha
Ni hivi kijana ukiwa unatembea na watu wazima unapata kifungo. Yaani hutawapenda tena wale wa umri wako hata ukianzisha mahusiano hayawezi dumu na kuoa au kuolewa inakuwa ni hatiani. Ukibahatika ku oa/ kuolewa kuachana kunakuwa njenje. Vijana waacheni wazee wakutane na wa rika yao hali kadhalika wazee wawaache vijana waweze kupata wa rika lao
 
Ni hivi kijana ukiwa unatembea na watu wazima unapata kifungo. Yaani hutawapenda tena wale wa umri wako hata ukianzisha mahusiano hayawezi dumu na kuoa au kuolewa inakuwa ni hatiani. Ukibahatika ku oa/ kuolewa kuachana kunakuwa njenje. Vijana waacheni wazee wakutane na wa rika yao hali kadhalika wazee wawaache vijana waweze kupata wa rika lao
Hakuna kifungo bhana chibabu wangu Hana mke na mie mtu mzima kanipita miaka kadhaa tu kama Kumi sio mbaya yaani nimedata akija tu kuniambia ndoa naruka ruka ipo siku atasema maana home kwetu anakuja kumsalimia maza na kamwambia maza hajaoa siku hzii ananipa ufunguo za nyumba yake so sikilizia 🥂🤰👪🧑‍🍼
 
Ukiona hivyo ujue kuna mtu anawindwa humu,,
haya wewe unayewindwa anza kufunguka huko kwenye pochi maramoja sio mpaka uanze kubembelezwa na nyuzi
Nimefunguliwa nyuzi na mtu simjui Sasa unaona mie Simtafuti mtu natafutwa niemewahiwa
 
Wanajielewa sana ukipata bahati kuanzia 33+ ni wanaume hasa hawana utoto mm natamni hta mumewang awe kwenye age hiyo anipite miak kuanzia 7 na had 10 🤦🤦
33+ zeroo wewe 40+ ndio amen hapa town wamejipanga kimwili kiakili na wanajielewaa
 
Back
Top Bottom