Mapenzi matamu sana

Mapenzi matamu sana

Attachments

  • images (25).jpeg
    images (25).jpeg
    19.6 KB · Views: 4
Nimefunguliwa nyuzi na mtu simjui Sasa unaona mie Simtafuti mtu natafutwa niemewahiwa
 mdau amekumwagia sifa zote
 ya kweli hayo!!?
kama ni ya kweli muwe mnatuonjesha kidogo nasisi ili tuexperience dunia ya tofauti
 
Unaota
Maisha sio mepesi hivyo Kama ulishindwa kuenjoy kwa wazazi wako basi huku kwingine sahau
 
Nyuzi za ngono tuuuu hata nusu mwaka bado lol [emoji23]kazi ipo
 
Hivi wadau umewahi kuonja penzi la Mzee .
Sio Mzee 50 nope 45 kurudi chini .

Like 42 halafu anayejiweka vizuri Kwa mlo ,mazoezi na muonekano.

Haloo kwanza Kwa harufu nzuri tu unadata ,bado mengineyo wazee wakikupa fulsa ya kuenjoy unaenjoy aisee sio nyie mnachezea kitu hadi mtu anaugua hii sio vizuri . Ila Hawa wanajulia mamboo yaani ni Raha mustarehe halafu kitu kikafanywa kitaamu hurukiwi kama Simba ambaye yuko mawindoni.

Mapenzi ni Raha kama umepata mtu wako anayekujulia .

mzabzab nyie wazee mkiamua siye mnatukosha
Miaka chini ya 50 sio mzee.

Bila shaka unaonekana upo chini ya miaka 25.
 
Hivi wadau umewahi kuonja penzi la Mzee.

Sio Mzee 50 nope 45 kurudi chini. Like 42 halafu anayejiweka vizuri Kwa mlo ,mazoezi na muonekano.

Haloo kwanza Kwa harufu nzuri tu unadata ,bado mengineyo wazee wakikupa fulsa ya kuenjoy unaenjoy aisee sio nyie mnachezea kitu hadi mtu anaugua hii sio vizuri . Ila Hawa wanajulia mamboo yaani ni Raha mustarehe halafu kitu kikafanywa kitaamu hurukiwi kama Simba ambaye yuko mawindoni.

Mapenzi ni Raha kama umepata mtu wako anayekujulia .

mzabzab nyie wazee mkiamua siye mnatukosha
Mmmh
 
Back
Top Bottom