Mapenzi na watu wazima wanaojitambua ni matamu sana

Mapenzi na watu wazima wanaojitambua ni matamu sana

Hiki ndo mnachokipeleka nyumbani.. eti mtu mzima🙁
Unaenda kulala na mtu mzima rika ya baba ako eti kisa pesa halafu wenyewe mnaita mapenzi ya kweli🤔🤣..
 

Attachments

  • FullSizeRender.MOV
    23.7 MB
[emoji23][emoji23][emoji23] aha kumbe asante kwakunikumbusha dah

Ee mzee wa kupamambia kwahio unanipambania nipate shangazi au vipi si unaniona nilivyokonda sina mimi nitajiri wa mifupa sina nyama kabisa
Niliona ile clip yako ukiwa Wavuvi Camp huo mwili sio wako ukipata shangazi

Mimi nitakupambania shangazi la ukweli anaishi Tegeta
 
Huu uzi watu wako buzy si kitoto😆😆
63A016C3-4F04-45B0-A721-0D336835B452.png
 
Back
Top Bottom