Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
[emoji28][emoji28][emoji28] tunazungumzia shangazi ambaye anakuwa mpenzi wako
Alafu ukishajua mama?Jaman HA si nimeuliza tu nipate kujua?😁😁
Sio wanajua kulea tu pia wana hekima katika maisha.Kabisa kipenzi!! Waishi maisha marefu tu kwakweli!! Wanajua kuleaaa bana!
🤣🤣🤣🤣Umetisha Dada ngoja tujipangeHahahahahahaha waliojipanga vizuri ujanani
Unahurumia Gari mpya kwenye barabara ya mashimo au?Namhurumiaa
Quora ila sihamiSasa uhame uende wapi?😆😆
Kuanzia 2030 naweza anzra kuletewa posa kwa ajili ya binti yangu.. Panapo uhai...Nikimuangalia binti yangu naona dah. Hivi ndio mimi ntapokea mahari kweli 🤣🤣🤣? Kijana aje amejipanga...
Akhsaantee kwa kukaziaaaaa!Sio wanajua kulea tu pia wana hekima katika maisha.
Ndio nitakuwA nimeshajua.Alafu ukishajua mama?
Kuanzia 2030 naweza anzra kuletewa posa kwa ajili ya binti yangu.. Panapo uhai...
Hawa waduwanzi wajipange kulaleki. [emoji23]
Kama hawakuwa vijana vile mnavyowasifia 😁Sio wanajua kulea tu pia wana hekima katika maisha.
Niliona ile clip yako ukiwa Wavuvi Camp huo mwili sio wako ukipata shangazi[emoji23][emoji23][emoji23] aha kumbe asante kwakunikumbusha dah
Ee mzee wa kupamambia kwahio unanipambania nipate shangazi au vipi si unaniona nilivyokonda sina mimi nitajiri wa mifupa sina nyama kabisa
Mbona umecheka bila nukta?Nimecheka sana
Itakuwa jambo la msingi na sekondari.. Unipikie na kabiriani, juice ya embe kwa ya kutosha.. Nyama nyingi si unajua sisi wa uswahilini tunapakuliwa mboga tunahesabiwa kabisa, nyama(finyango) ni mbili mbili.. 😂 😂Itabidi siku nikutambulishe kwa shemela ako
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] bado hamjamalizana na mashangaziMashangazi wastaarabu sana huduma muda wote,hakuna likizo za ghafla.
😁 mimi nipo kwenye kundi pendwaNdio nitakuwA nimeshajua.