Mapenzi na watu wazima wanaojitambua ni matamu sana

Safi sanaa

Mimi na wife tuko safi sana

Yaani ni maendeleo tuu hapa wala hizi habari sijui .

Sijui kukunjanaa hadi sijui huku hakuna

Watoto wanaendeleaje shule

Ule mradi ukojee nini kimeshort

Sijui kagua simu huku hatuna hizo biashara.

Ujengewe Sanamu karibu na Ikulu yaa DDM

na pale Posta mnara wa askari

Umetuheshimisha sanaaa
 
πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Jamani naelewana na majimama, napenda mishangazi, ni waelewa hawana usumbufu na vijitamaa vya pesa, na Wana mishepu ya kuvunja Chaga.
 
Umepata point tatu kama bao la arsenal la jana jioni kabisa duh β€οΈβ€οΈβ€οΈπŸ™πŸ™πŸ™
 

Nalifanyia kazi hilo
 
Kwakweli no way
Kamati ya wanawake imekaa kikao
Jamani msituweke wote sie wengine ni timu high school sweetheart, team college sweetheart.

Tunatafuta wote now, ikifika muda wanaanza kwenda kwa watoto waliozaliwa 2020 wakapetiwe petiwe, ama kweli kupanga ni kuchagua πŸ˜…πŸ˜…
 
Hii imekaa kiupande m'moja sana, kuna upande wa uharibifu hapa haujaongelea.
Ni kama vile GOOGLE.COM ilivyo, inakupa vile unavyotaka. Ukiandika faida za pombe mwilini inakupa faida hizo tu pasipo kukupa hasara za pombe mwilini. Ukitaka hasara basi unaandika, hasara za pombe mwilini.
 
Izo ni tabia za mtu mzima unaweza kukuta kijana yuko early 20's ila anajitambua ..
Utasamaje na wazee wako later ages 45- 50 lakini bado Wana utoto wengine unasikia wamebaka .

Ishu ni kuwa na akili za kujitambua maana hata wajinga wanazeeka kuwa makini ..Kuna vijana si wakiume wala wa kike wanajitambua mapema ila ni wachache sana ..
 
To be specific me nalenga wa above 50 japo nao sio wote ndo maana nimeweka wanaojitambua
 
To be specific me nalenga wa above 50 japo nao sio wote ndo maana nimeweka wanaojitambua
Context uliyochukulia ni nzuri maana wengi katika age iyo washapoa na wametulia ,ila wapo wenye tabia izo hata vijana wa 30's .

Bahati mbaya wale malecturers walikamatwa kwa kesi za rushwa ya ngono wote wako 55 -60 .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…