DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa nawashauri.Tumeamua kuwastiri na wao...
Haki sawa
Na kupata ukimwi. Malizia komredi 😊👍🏾Hii imekaa kiupande m'moja sana, kuna upande wa uharibifu hapa haujaongelea. Sidhani kama ni sawa kwanza kudeal na watu waliokuzidi umri.
Mtu ameshatumia ujana wake halafu uzee ndio aje kutumia na wewe?!
Hapo me nadhani unakuwa na lengo la kufaidika kiuchumi tu na si vinginevyo.
Liweke kwangu mbona ni lisafi 😂Ninalo liko hapa linamatope vibaya mno.niliweke hivyo hivyo😆😆😆
Na kupata ukimwi. Malizia komredi [emoji4][emoji1474]
Hahaha! Umasikini ni fedheha kakaDuh umaskini nyoso sana, tafuteni hela vijana muache kutumika na vikongwe.
Pesa kaka.Hivi binti kutoka na mwanamume mwenye 50+ anafuata mapenzi au pesa tuseme tu ukweli
Nakusubiri uwe mtu mzima mm nitabaki hivhivi😂😂😂Hata vijana wakikua watakuwa watu wazima,ni swala la muda tu.
Hahahah watag basi hao elders wa jf tuwajue tuwafikirieSasa nawashauri.
Humu JF Kuna wazee, msifanye mioyo kua migumu
Tunao Uwezo wa kulana humuhumu sisi wenyewe.
Au nasema uongo Ndugu zangu?
Uzi unaandika humu JF..alafu papuchi inalliwa namtu hajui hata JF
ngoja na mm nitafute hao watu wazima maana naona kama kuna kweli unayosemaAbove age ya ujana
Wangu ashatengeneza maisha ya wanae na mkewe siku nyingi sana. Good thing ni mtalaka...so nitake mimi tu ndoa au kula bilq ndoaPesa kaka.
Tena pesa zinazotolewa bila hata kuhoji... na ana mke nyumbani lakini hakuwahi kupata bahati hiyo kutoka kwa mumewe wa ndoa.
kuna mzee mmoja alikuwa kitengo serikalini. Ilikuwa ndo michezo yake. Anahonga sana vibinti pesa na vidogori ila wanae hali ngumu.
Mabinti wa mjini wakawa wanampa michezo adimu mwisho wa siku akapata na ngoma. Saiv anauguzwa na mkewe 😊👍🏾
#watuwazimamujifunzekituhapa
Sio wanajitambua 😊He's so lovely yaani. Sio mbaba sana lakini😅😅😅
Kiufupi married men wanajitambua angalau.
hivi above ujana ndio miaka 25 au 28 au 30 au akili yakoUkipata unambie
Aahhh nyie msifanye mioyo kua migumu, watajaa huko JFHahahah watag basi hao elders wa jf tuwajue tuwafikirie
Ujana unaenda mpaka 40+ kiongozihivi above ujana ndio miaka 25 au 28 au 30 au akili yako