Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Ni mwendo wa kubadili ladha ya chakulaEwaaa kama umenielewa nielewee mambo yaende.
Masuala ya kuanza kuimbishana nyimbo yann
Mimi kuoa nimeshaoaa, sitaki mwanamke wa kuoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mwendo wa kubadili ladha ya chakulaEwaaa kama umenielewa nielewee mambo yaende.
Masuala ya kuanza kuimbishana nyimbo yann
Mimi kuoa nimeshaoaa, sitaki mwanamke wa kuoa
Sasa iwe mkongo au viagra me sjui ninachoona anasimamia shoo...Kupakiwa mkongo ndiyo kujituma?
Kweli vituko haviwezi kuisha kamwe duniani [emoji2]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kazee kasimamie shooo??Thubutuuuu!! Kuna vizee 6*6 ni vimafia balaaaa! Vinasimamia ukucha mpaka unafurahi naroho yakooo!
Hahahaaa..Yani zile emoj za mange nataman zingekuwepo hapa hasa ile ya teke kubwaaaa
Wako mzee au?Halafu siku hizi vijana mbona hamna maajabu yoyote we chunguza wanao nunua vumbi na kunywa mchuzi wa pweza ni wazee au vijana😬😀😀😀
Wangu kila eneo yuko vizuri Allamdullah
Kuna mwana ccm mmoja ni ex waziri alinishangaza sana. Yani sixty years plus lakini alikuwa na maajabu ya haja hadi nilishangaa.Thubutuuuu!! Kuna vizee 6*6 ni vimafia balaaaa! Vinasimamia ukucha mpaka unafurahi naroho yakooo!
😂😂 naona aibu mimiThubutuuuu!! Kuna vizee 6*6 ni vimafia balaaaa! Vinasimamia ukucha mpaka unafurahi naroho yakooo!
Sio wazee wote hawawezi kusimamia show wengine wako njema🤣🤣😂 ndio maisha utazunguka mwsho wa siku utarud pale pale
mzabzab hivi vizee vinatuzid wapi 😂Kuna mwana ccm mmoja ni ex waziri alinishangaza sana. Yani sixty years plus lakini alikuwa na maajabu ya haja hadi nilishangaa.
Dahh halafu msafiiiiiiiiiiiiiiii
Hawakosekani nyoro nyoroSio wazee wote hawawezi kusimamia show wengine wako njema🤣🤣
Sio mzee ana 51 kwa sasaWako mzee au?
Labda wao ila mimi sijawai tumia booster yeyote na sitegemei hilo.
Sio vizeeee ile ya vizeeeeee sana lol nasemea hao aged fulani!! kuna ambao kunakoKazee kasimamie shooo??
Bizeee vinawapata yie wamiaka 20 .
Kazee kasimamie shooo la bidada mwenye Tako Hekari ?? Mahips hayooo ,Demu kaoanda hewanii
Hata vijana wapo umri mdogo ila show mwendo wa Kobe🤣🤣Hawakosekani nyoro nyoro
51 sio mzee? Kwan uzee unaanzia miaka mingap,?Sio mzee ana 51 kwa sasa