Na yeye jukumu lake ni lipi?kama mwanamke anaishi kwake, anafanya kazi na anaingiza kipato chake kizuri, ajihudumie akikwama nipo kwa ajili yake tuta sort out, nami pia nikikwama natarajia same treatment kutoka kwake, 2 way traffic...ila siyo vizinga visivyokuwa na akili. Siyo kiaa kitobo basi unifanye nihudumie mtu 'mbinafsi'
Kama ni mke wa ndoa hilo ni jukumu langu kuhakikisha natimiza wajibu, ila sitarajii kwamba kipato chake afanye mambo yake ya siri, na majukumu madogo madogo lazima atafanya (kwa mwanamke anayejielewa) baba una deal na mambo mazito