Unaona sasa! Mwanaume unafanyiwa kazi za ndani unapewa na pesa juu bado unataka attention ni attention gani hiyo unataka rafiki?Kuna namna kama nakuelewa hiviiiiii. Ila twende taratibu sasa.
Huyo mwanaume kuna namna hajapatiwa attention vizuri.
Hiyo mada ndiyo imetupeleka huko! Lazima tukumbushane kidogo!Hii topic ya kula kwa jasho umeivalia njuga kweli
Nataka nikuone ni prove..... Maana sipendi kuongea nadharia na mtu ile hali tunaweza kuonyeshana ushahidi wazi wazi.Yes mimi nina uwezo wa kuhudumia familia na nimeshuhudia familia nyingi ambazo wanawake ndiyo wanahudumia familia ilihali wanaume wapo wapo tu! Hivi hizi personal attacks bado hamjaziachaga tu jamani?
Na yeye jukumu lake ni lipi?kama mwanamke anaishi kwake, anafanya kazi na anaingiza kipato chake kizuri, ajihudumie akikwama nipo kwa ajili yake tuta sort out, nami pia nikikwama natarajia same treatment kutoka kwake, 2 way traffic...ila siyo vizinga visivyokuwa na akili. Siyo kiaa kitobo basi unifanye nihudumie mtu 'mbinafsi'Sasa si jukumu lako boss? Au la nani?
Sawa dear......Jifunze kuachilia, jifunze kusamehe. Mwisho wa siku uchungu unakuumiza wewe zaidi kuliko hata hao uliowabeba moyoni kwa chuki kubwa. Wakati wewe unaiharibu familia yako kwa nguvu zote kisa uchungu; hao kina Jack waliokuumiza maybe ndoa zao zinawaendea vizuri tu na walishakusahau kabisa. Upe moyo wako amani; uchungu utaondoa utu wako na kukufanya uwe mnyama; and there is no reward for that. Usiharibu maisha yako kwa sababu ya mtu aliyekuumiza.
Sio ukali nakuelekeza wewe unabishanaKhaa unaona sasa! Hivi kwanini mkiguswa pabaya mnakuwaga wakali hivyo jamani?
Kisasi kwa aliyekukosea kwa makusudi ni muhimu.Hapo unayeteseka ni wewe, na utateseka kweli kweli... dua la kuku kwa mwewe ni FUTUHI tu.
Ah hawa bila kuenda nao sawa wanajifanya hawaelewi! Hata hapa wameshaelewa ila kukubali sasa ndiyo ishu!Hongera sana,
Umewakalisha sio mchezo,
Lol
Oohh basi tufanye hivi hata kwenye suala la mwanaume kumtawala mwanamke tusiende kwenye maandiko tuyaweke pembeni kabisa halafu nikuulize hili swali! Kama mwanaume na mwanamke wote wanahudumiana na wote wanachangia bills pasu kwa pasu au pengine mwanamke ndiyo anatoa zaidi hapo utasema huyo mwanaume ni kichwa cha familia na kama jibu ni ndiyo je ni kwa misingi ipi?Hayo maandiko unayoongelea hapa hayahusiani na mada hii na hali halisi. Hapa tunaangalia Logic hizo story za maandiko waachie akina Gwajima.
Tatizo hamtaki kuukubali ukweli! And that has always been your great mistake!Yani alimradi ubishane tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeshakuambia wapo pia wanawake wengine wengi tu wanaohudumia familia ilihali wanaume wapo! Mbona unajitoa ufahamu rafiki?Nataka nikuone ni prove..... Maana sipendi kuongea nadharia na mtu ile hali tunaweza kuonyeshana ushahidi wazi wazi.
Kwenu huyo ndiye mwanamke anayejielewa! Basi sawa kaka!Na yeye jukumu lake ni lipi?kama mwanamke anaishi kwake, anafanya kazi na anaingiza kipato chake kizuri, ajihudumie akikwama nipo kwa ajili yake tuta sort out, nami pia nikikwama natarajia same treatment kutoka kwake, 2 way traffic...ila siyo vizinga visivyokuwa na akili. Siyo kiaa kitobo basi unifanye nihudumie mtu 'mbinafsi'
Kama ni mke wa ndoa hilo ni jukumu langu kuhakikisha natimiza wajibu, ila sitarajii kwamba kipato chake afanye mambo yake ya siri, na majukumu madogo madogo lazima atafanya (kwa mwanamke anayejielewa) baba una deal na mambo mazito
Mimi hujihudumia mwenyewe staki back up ili mtu ani control so najiweza na wewe mwanaume usitegemee kuni control na vtu vyako maana staki, pia wanaume wengi sikuhizi wanapenda kupewa kuliko kutoa vya bure lohNa yeye jukumu lake ni lipi?kama mwanamke anaishi kwake, anafanya kazi na anaingiza kipato chake kizuri, ajihudumie akikwama nipo kwa ajili yake tuta sort out, nami pia nikikwama natarajia same treatment kutoka kwake, 2 way traffic...ila siyo vizinga visivyokuwa na akili. Siyo kiaa kitobo basi unifanye nihudumie mtu 'mbinafsi'
Kama ni mke wa ndoa hilo ni jukumu langu kuhakikisha natimiza wajibu, ila sitarajii kwamba kipato chake afanye mambo yake ya siri, na majukumu madogo madogo lazima atafanya (kwa mwanamke anayejielewa) baba una deal na mambo mazito
Ninakazia hapa hapa.Sijui unazungumzia mapenzi yapi? Ya ndoa au haya ya kabla lakini ninachojua ni jukumu la Me kuprovide kwa Ke. Tofauti na hapo lazima Me atanyanyasika tuu hata akiwa na Ke anaye mpenda kwa dhati bado utanyanyasika. Wanaume tafuteni pesa hilo la msingi.
Kwa sababu hatujaumbwa kutoa Bali kupokea tu.Hela ya mwanamke ni ya kuogopwa sana, unaweza mpa mwanamke wako 100k then baadae kdgo mkapata changamoto mfano luku ikaisha ukamuomba akupe elfu 5 kwenye hela uliyompa ili utatue hiyo changamoto(mfukoni huna kitu una nauli ya kuendea kwenye mishe zako tu). Atakupa lakini ndani itamuuma sana nasema ivi kwa experience mkuu hela ya Ke ni chungu mno ndio maana hata wengi zawadi zao kwa wanaume wao ni vitu vidogo dogo tu [emoji23][emoji23] tusoksi twa buku.
Control ya mwanaume inatakiwa kuwa pale pale, uwe nacho usiwe nacho ukiwa na mimi ujue mimi mwanaume ndio kichwa, kisha unafuatia wewe mwanamke wangu wa ubavauni, hao wanaotegemea wanawake ni 'mafala', ila haiondoi utu mwenzako akikwama basi usimsaidie kwa sababu siyo jukumu lako...hapo mapenzi yako wapi sasa ubinafsi na uchoyo wa wanawake unafanya mahusiano yanakuwa magumu sana kwa wanaumeMimi hujihudumia mwenyewe staki back up ili mtu ani control so najiweza na wewe mwanaume usitegemee kuni control na vtu vyako maana staki, pia wanaume wengi sikuhizi wanapenda kupewa kuliko kutoa vya bure loh
Kwa sababu hatujaumbwa kutoa Bali kupokea tu.
umeona msemo niliokuwekea juu broDah, sasa kwani hii mada mbona mnataka kuivuruga, iko wazi! Hakuna mtu aliesema anataka kulelewa ila tunazungumzia kupigana tuff kama sehemu ya mapenzi yenu. Kama vile ambavyo mwanamke anaweza chukuliwa akiwa form 4 akasomeshwa hadi kufikia chuo kikuu basi ndio same ambavyo mke akipata kazi anaweza msaidia mume mambo yanyomuelemea. Hapo kuna kulelewa? Acheni kubaka mada.
We ni mwanamke unapretend kuwa mwanaume i can smell you......Hongera sana,
Umewakalisha sio mchezo,
Lol