KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
Eti kwenye hsrusi wao kutoa saa ya buku 3 na tuviatu twa elfu 70, wanaona ndo zawadi ya wewe kumchangua kati ya mamilioni ya wanawake.Hela ya mwanamke ni ya kuogopwa sana, unaweza mpa mwanamke wako 100k then baadae kdgo mkapata changamoto mfano luku ikaisha ukamuomba akupe elfu 5 kwenye hela uliyompa ili utatue hiyo changamoto(mfukoni huna kitu una nauli ya kuendea kwenye mishe zako tu). Atakupa lakini ndani itamuuma sana nasema ivi kwa experience mkuu hela ya Ke ni chungu mno ndio maana hata wengi zawadi zao kwa wanaume wao ni vitu vidogo dogo tu [emoji23][emoji23] tusoksi twa buku.
Tena tu zawadi anatusindikiza na maneno mazitooo ...Nampa hii saa ili aswe anachelewa kurudi nyumbaniEti kwenye hsrusi wao kutoa saa ya buku 3 na tuviatu twa elfu 70, wanaona ndo zawadi ya wewe kumchangua kati ya mamilioni ya wanawake.
Ningeshangaa sana kama usingemtaja relationship coachHuyu Karma atakua anamsoma Sana yule jamaa insta anajiita Idd makengo ....yule jamaa anateka akili za wanawake kibaya anawapoteza badala ya awasaidie .! Ni mjinga Sana yule jamaa ana story za kutunga Sana na si za uhalisia bonzo kabisa
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Haki mmejua kunichekesha. Lakini KakaJambazi na yeye si amekukubali kati ya mamilioni ya wanaume?Eti kwenye hsrusi wao kutoa saa ya buku 3 na tuviatu twa elfu 70, wanaona ndo zawadi ya wewe kumchangua kati ya mamilioni ya wanawake.
Tena tu zawadi anatusindikiza na maneno mazitooo ...Nampa hii saa ili aswe anachelewa kurudi nyumbani
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Tena tu zawadi anatusindikiza na maneno mazitooo ...Nampa hii saa ili aswe anachelewa kurudi nyumbani
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
ππππ nimecheka hapo kwenye kuputa mkonoUkiongea hivi mademu wadangaji na misukule inayopigwa invoice za tuma na ya kutolea inapata uchungu sana. Wanaona kama maajabu na wataishia kukuita Marioo kumbe ni lifestyle tu.
Kuna raha sana kuwa na demu ambaye hata ukikwama ni single click tu tatizo linakuwa resolved. Unaspend nae sana tu ila siku ukiwa hovyo amna kitu kinaharibika. Halafu hawanaga mambo ya kijinga ukiwa naye ni yeye tu hawanaga uxenge wa michepuko. They are always genuine with their feelings.
Shida ipo kwa hawa akina nanii af ukichunguza ni roho ya kimaskini tu inawasumbua na ubinafsi πππ. We kama vyangu unakula mbona ikifika zamu ya kula vyako unaniputa mkono au unanuna?
Love is 2 way traffic jamani.
Hio uomba omba haipendezi na wala haikubaliki. Ila kuna ile una hustle unaona kabisa leo bila bila.
Tajiri hajatoa hela kwa wakati uko pending unahitaji material kukamilisha kazi nyingine. Unavuta waya! Mama hembu naomba nsaidie laki 7 nikamilishe kazi nina kipengele kidogo ntakurudishia nikishakabidhi kazi. Dakika 10 tri..trii sms ya MPesa imeingia.
Sasa kwa demu mwenye roho ya kimaskini atakuwa anaona kama miujiza maana akiombwa hata elfu 50 anahisi akaunti yake inawaka moto. Ila hapo kama mke unakuta na kazi ulimfaitia wewe akap
Kitu kingine naweza mpongeza baba mkwe kwa kuwa alipata a wife indeed! Hayo mambo uliyosema yanawezekana kufanyika ila kwa mabinti wa kanda maalum.
Ukiyafanya Buza, Mbagala na Temeke,Gomz matokeo yanaweza yasiwe chanya.
π π π π and I gave him everythingKelele mtaa mzima, Ooh i made you Kevin πππ
Sasa mbona unahangaika na kujibu si uishi sasa hayo maneno unayotuambia.....Aisee yaani sitaki kuamini unanipangia cha kusema kuhusu maisha yangu eti! Yaani wewe wa ajabu sijapata kuona!
Mimi naweza kukuambia chochote ninachojisikia kuhusu mimi kwa wakati wowote! Kuhusu kuamini au kutokuamini utachagua wewe ni kipi ukichukue na kipi ukiache mimi hilo linakuwa halinihusu!
Sema nini mmetukamia sana na tuboksa boksa, vest, mikanda na socks π π ππHiyo kubwa sana kwao [emoji1]
Jamani muache dada karma apumzike kwanzaππππUmeshasema hauna mpango wa kuingia kwenye mahusiano..... Tena sasa unasema ukimpata.... Hivi wewe upo sawa kweli kweli?!
naongeza sauti kidogo, ela ya mwanamke ni ya kwake ila ya mwanaume ni ya woteSijui unazungumzia mapenzi yapi? Ya ndoa au haya ya kabla lakini ninachojua ni jukumu la Me kuprovide kwa Ke. Tofauti na hapo lazima Me atanyanyasika tuu hata akiwa na Ke anaye mpenda kwa dhati bado utanyanyasika. Wanaume tafuteni pesa hilo la msingi.
Na huu mkanda niwe naufungua mimi tu π π π π π πTena tu zawadi anatusindikiza na maneno mazitooo ...Nampa hii saa ili aswe anachelewa kurudi nyumbani
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
hahahahaHela ya mwanamke ni ya kuogopwa sana, unaweza mpa mwanamke wako 100k then baadae kdgo mkapata changamoto mfano luku ikaisha ukamuomba akupe elfu 5 kwenye hela uliyompa ili utatue hiyo changamoto(mfukoni huna kitu una nauli ya kuendea kwenye mishe zako tu). Atakupa lakini ndani itamuuma sana nasema ivi kwa experience mkuu hela ya Ke ni chungu mno ndio maana hata wengi zawadi zao kwa wanaume wao ni vitu vidogo dogo tu [emoji23][emoji23] tusoksi twa buku.
sawa umesomeka hahahaYaani pale unapokuwa deep in love, upande wa pili wazime Internet ghafla.
Heheheh tuboksa twa buku3 na tuvesti bila kusahau tusoxi twa buku! Hapo wewe umetoka kupewa iPhone ya Mil.3.5 hapo ukapokea bila chembe ya aibu.Sema nini mmetukamia sana na tuboksa boksa, vest, mikanda na socks π π ππ
Hiyo ya kusaidia inaeleweka na naamini wanawake wanafurahia sana kusaidia wapenzi wao. Ila isiwe ni mazoea na wajibu wa mwanamke wa kila siku. Mwanaume rijali ni yule ana provide kwa famiilia na mpenzi wake. Ila wengi wa Me sikuhizi wanapenda mteremko kitu ambacho ni kibaya
Hapa ndio wanaume wanafilisika, na umasikini kwa % kubwa huanzia hapa, mwanamke lazima atoe budget ya familia kama ameolea na wajadili kama hio budget inawezekana ( hapa wanawake hawataki kabisa kutoa budget kwani ndio sehemu wanaibia, mwanaume akifuatilia matumizi basi wanawake wazidisha matumizi kwa kutumia vitu rafu na kuharibu ili ionekane matumizi ni makubwa), kama ni friends lazima kila mtu abebe gharama zake za maisha yake na yeyote mwenye kuhitaji msaada aombe na isiwe ni mazoea ( hawa wanawake watesema hawapendwi au mwanaume hana pesa au bahili na watakimbia) % kubwa ya wanaume wanauwezo wa kufanikiwa kipesa kama ataweza kuwakwepa hawa predatorsUnajua hawa watu hutofautiana kwa malezi mkuu, kuna ambao wana roho safi (roho za kitajiri) na wengine wana roho za kwanini(roho za kimaskini).
If you come across a person with a rich heart na ambaye amelelewa vyema huwezi pata nae shida. Kuna watu wako more giving and trust me you need this kind of energy kufika peponi. Ukiwa na energy ya kujitoa pia hakika mapenzi yatakuwa ni mahali salama sana kwako.
Shida inayotukumba tunajitoa kwa watu ambao hawako tayari kujitoa ila kutunyonya. You end up looking silly.
Anakupa zawadi na masharti yakeπππTena tu zawadi anatusindikiza na maneno mazitooo ...Nampa hii saa ili aswe anachelewa kurudi nyumbani
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app