Mapenzi ni 2 way traffic, stop being bitter

Mapenzi ni 2 way traffic, stop being bitter

Ndio ubinafsi wenyewe, sasa kama mpenzi wako ana uhitaji na una uwezo wa kumpiga jeki ila hufanyi hivyo ila unaacha ateseke utajiita una upendo kweli wewe?
Ila yeye akiwa freshi wewe anakutatulia yakwako tu bila hiyana. Na ndugu zako anawasaidia pia.
Ndicho nimemwambia hata mimi..... Kuwa wao wanaona shida wapi kumsaidia mwanaume wake. Ni ubinafsi wa kisaikolojia tu huo hauna uhusiano na imani wala jamii
 
Sijawahi kukutana na mwanaume ambae anaishi na mwanamke anamfulia na kumpikia na kumsaidia usafi kipindi wakiwa wachumba na huyo mwanaume asiwe anamsaidia binti pesa za mahitaji yake...... Wewe unataka kutuchanganyia mafaili hapa.....
Kitu kama haujawahi kukiona au kukisikia haimaanishi kuwa hakipo! Siwezi kuongea au kuandika haya from nowhere tu uliza uambiwe au tembea ujionee mwenyewe kuliko kukaa hapo kupinga kila kitu!

Kuna wanaume hawahudumii wapenzi au wake zao lakini bado kupikiwa na kufuliwa wanataka! Na bado kuchepuka wanachepuka wanakuambia hawatosheki na mwanamke mmoja!
 
Ni kama tu ambavyo mwanamke kumpikia na kumfulia mwanaume wake ni halali ila mwanaume kumpikia na kumfulia mwanamke wake ni kosa! How does that sound?

Halafu kumbukeni mliambiwa mle kwa jasho! Hivi hilo andiko kwanini mnajifanyaga hamlioni lakini lile la kumtawala mwanamke mnaliona wakati yameandikwa kwenye ukurasa mmoja?
Mi mbona nampikia mke wangu at occassions. Hilo sio kosa per se ila linakuwa tatizo endapo utanyoosha miguu full time ukitegemea niingie jikoni kukupikia eti kwa sababu umechangia ada ya watoto. 😂😂😂😂😂
 
Extrovert mkuu naona umeanzia uzi kabisaa mada ya Chizi Maarifa......
Trust me yule mhenga aliyesema kama unapokea mshahara 100k na mkeo naye anapokea 100k ndani ya nyumba mna 100k hakuwa mjinga alifikiria sanaa.....
 
Kitu kama haujawahi kukiona au kukisikia haimaanishi kuwa hakipo! Siwezi kuongea au kuandika haya from nowhere tu uliza uambiwe au tembea ujionee mwenyewe kuliko kukaa hapo kupinga kila kitu!

Kuna wanaume hawahudumii wapenzi au wake zao lakini bado kupikiwa na kufuliwa wanataka! Na bado kuchepuka wanachepuka wanakuambia hawatosheki na mwanamke mmoja!
Hao wanaume waache njoo kwangu haraka, mie sichepukagi napoona kuna upendo wa kweli
 
Oohh kwahiyo kumtawala mwanamke tu ndicho mnachoona ni asili ila kula kwa jasho lenu imeshakuwa siyo asili tena? Shame on you people!
Kuwatawala inakuja kutokana na mazingira mnayotengeza na wanaume.

Wewe umekuja kwenye maisha yangu umenikuta na mali zangu nimetafuta mwenyewe baada ya kuzinguliwa na akina Jack kwa maika nenda rudi hadi nikakata tamaa ya mapenzi ya kweli.

Kisha nimekutana na wewe nikakuweka ndani, halafu unataka nikuchukulie kama mtu kweli, wewe kwangu ni kitu, ni kama TV, Home theater, Gari na vinginevyo so utaishi kwa amri na maelekezo yangu vile nataka.... Sasa ubishane na maelekezo yangu kwa kuwa wewe ni nani?!

Mwanamke ambaye nitashauriana nae na nitaongea nae kama mwanadamu mwenzangu ni bi mkubwa wangu, dada yangu, na mwanamke ambaye alinikuta at my lowest akawa na mimi all the way up huyo kwangu ni malkia lazima apewe heshima yake, na akija mwanamke akamkosea adabu huyo ntamrarua, hata mama na dada zangu watapigwa biti matata wasimletee mizengwe huyo malkia
 
Ndio ubinafsi wenyewe, sasa kama mpenzi wako ana uhitaji na una uwezo wa kumpiga jeki ila hufanyi hivyo ila unaacha ateseke utajiita una upendo kweli wewe?
Ila yeye akiwa freshi wewe anakutatulia yakwako tu bila hiyana. Na ndugu zako anawasaidia pia.
Swali langu haujanijibu umesema mwenyewe hapo mapenzi ni two way traffic hivyo tunahitaji kusaidiana! Tena wewe ambavyo hautaki hata kusikia kuhusu ishu za kupika na kuosha vyombo ila unataka eti mwanamke akupe pesa zake kwa sababu na wewe huwa unampa zako vipi na yeye akisema uwe unampikia na unamfulia kwa sababu na yeye huwa anakupikia na anakufulia?
 
Extrovert mkuu naona umeanzia uzi kabisaa mada ya Chizi Maarifa......
Trust me yule mhenga aliyesema kama unapokea mshahara 100k na mkeo naye anapokea 100k ndani ya nyumba mna 100k hakuwa mjinga alifikiria sanaa.....
Hahahah mkuu sio kwa wanawake wote. Amini kwamba!

Kuna wanawake ambao wana roho kama za kiumeni tu. Wanawake ambao wanatoa bila kuhesabu yani wapo hivyo. As long as mpo in good terms unakula mema ya nchi. Mwanamke huyu hela yake hana masharti nayo as long as mnakubaliana kufanya jambo lenu.

Ukimtibua anasonga zake mbele wala hamsumbuani na vyote utaachiwa hapo. Yami wana roho za kizungu
 
Mwanaume kua provider hyo Ni normal haikwepeki .
Ila mwanamke anae kua receiver totally 100% yeye hamna kitu anaweza saidia hahaa huyu mwanamke najua utanyanyasika mpka ukome ...kwa sababu you have nothing to do with me..! Na ndoa au mahusiano ya hvi hua nje kwa watu mtaonekana mda furaha na upendo ila ndani nyuma ya pazia kunawaka Moto balaaa..! Na mbaya Zaid uangukie kwa Mwanaume mla pombe hahaa utajua hujui
Nita provide kila kitu Ni sawa lakin ujue hutakua na Sauti kwangu hata kidogo
Huu ndo ukweli

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Usitutoe kwenye reli, rudi kwenye mada! Why mwanamke ku act responsibly kwa mume wake hasa kumpiga jeki kiuchumi inakuwa kosa?
Ni kosa kwa sababu mmeambiwa MTAKULA KWA JASHO LENU! Is that not clear to you?

Si mnatakaga tufuate maandiko ndiyo tumeyafuata sasa! Kwenye haya mambo ndiyo mnajifanyaga mnakumbuka kuwa kuna utandawazi na kwamba dunia imebadilika eti?
 
Wanaume kuhudumia ni norm! Ila inapotokea mwanamke ana uwezo zaidi akaamua kwenda extra mile. Walimwengu huwa wanaongea sana na kulalama kana kwamb mwanamke kwenda extra mile ni dhambi! Je, kwanini tunakuwa hivyo?
Nafikiri nimekujibu! Uliza kingine!
 
Najua kupika vizuri tu na usafi najua kufanya ... Ila inshu ya kusema kua hzo shughuli nitakua nafanya jibu Ni kwamba nitafanya pale nitakapo jiskia kufanya tu..! lakin sio kwamba nitafanya Kama majukumu Yangu ya kila siku ndani ya nyumba ..!

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Oohh sasa kwanini na wanawake msiwaache watoe hela zao pale wanapojisilkia kutoa tu? Maana hata wao siyo majukumu yao ndani ya nyumba eti!
 
Swali langu haujanijibu umesema mwenyewe hapo mapenzi ni two way traffic hivyo tunahitaji kusaidiana! Tena wewe ambavyo hautaki hata kusikia kuhusu ishu za kupika na kuosha vyombo ila unataka eti mwanamke akupe pesa zake kwa sababu na wewe huwa unampa zako vipi na yeye akisema uwe unampikia na unamfulia kwa sababu na yeye huwa anakupikia na anakufulia?
Kupika utapikiwa occassionally, siku umenifurahisha naamua leo nakupikia mke wangu. Thats it!
Sasa ile ya kunigeuza house boy wako unipikishe kila siku wakati mie ni mume tena hapo pagumu.

Wewe mumeo anatakiwa awe makini sana maana akilegea kidogo tu unamkunisha nazi walahi😂
 
Mwanamke hata kama anakupenda kwa viwango vya peponi kuna siku tuu atachoka,imagine mmefunga ndoa since day one mwanamke ndio provider wa kila kitu,miaka inaenda mara paaap mwaka wa 5 wa ndoa hakuna siku mume kamtoa mke out,wakienda vaccation ni mwanamke,bills zoote ni MRS am telling you Extrovert ipo siku hiyo ndoa itakuwa shubiri tuu...

iko hivi mwanamke hata kama unalipwa 10m per month,lakini akipewa zawadi hata ya laki tuu na mumewe au mwanaume ampendae atafurahi mnoo kuliko akienda kujinunulia mwenyewe zawadi,au mume amletee zawadi kwa hela alompa yeye..

Mimi naona mwanaume asiwe too tegemezi kwa mwanamke hatokuwa huru hata siku moja,na ndio asili ya uumbaji kuwa mume kama kichwa cha familia ale kwa uchungu,unapombebesha mwanamke jukumu la kukulisha kwa jasho na kukuzalia kwa uchungu dharau jua inakukaribia.
Well said bro.
Hapa ina make sense kwa wale kina Mariooo waliopitiliza.
Nakusoma mzee.
Wanawake wanapenda kuona walau a man went out of his way to at least think of her even for that little gift. Women don't look at the gift but the heart behind the gift. To them (at least in their psychology) they know, not only you care but in your mind they are existing.[emoji12][emoji28]
 
Kupika utapikiwa occassionally, siku umenifurahisha naamua leo nakupikia mke wangu. Thats it!
Sasa ile ya kunigeuza house boy wako unipikishe kila siku wakati mie ni mume tena hapo pagumu.

Wewe mumeo anatakiwa awe makini sana maana akilegea kidogo tu unamkunisha nazi walahi[emoji23]
This is so fun,
Kwa hiyo mke wako ni house girl wako?
Akupikie, akufulie, show akupe, mtoto akuzalie na pesa akupe pia, lol

My friend, ukitaka kula na wewe uliwe.
 
Back
Top Bottom