Mapenzi ni 2 way traffic, stop being bitter

Mapenzi ni 2 way traffic, stop being bitter

Well said bro.
Hapa ina make sense kwa wale kina Mariooo waliopitiliza.
Nakusoma mzee.
Wanawake wanapenda kuona walau a man went out of his way to at least think of her even for that little gift. Women don't look at the gift but the heart behind the gift. To them (at least in their psychology) they know, not only you care but in your mind they are existing.[emoji12][emoji28]
Mtu kishajiita Mother Confessor ,
Anakuaje Bro tena, [emoji848]
 
Karma we unanifurahishaga kweli ukifikaga kwenye point ya kung'ang'ania kidume akaoshe vyombo na kupiga deki. Sasa si uajiri houseboy umlipe tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Si ndiyo mabadiliko ya dunia tunayoyaongelea hayo maana siku hizi si tumeamua kuingiliana majukumu? Sasa iweje wanaume mnataka kusaidiwa majukumu yenu tu ila wenzenu hamtaki kuwasaidia majukumu yao?

Si unaona linapokuja kwenye suala la kufanya kazi za ndani mnavyokuwa wakali? Na ninyi si muajiri mahousegirl muwe mnawalipa tu?
 
Hawa ndio akishazaa akikutana na mwanaume anaanza kumletea story za kama umenipenda basi umpende na mwanangu.

Huwa nawaambia wewe fala nini, nimepende na mwanao kwani mimi ndio baba ake unadhani ni kazi rahisi kupenda bao la mtu mwingine?! Watu kama hawa dawa yao kama ni katoto ka kike unakalea na namna huwa vinakuwa haraka, kakiiva tu unapita nako, sio damu yangu so hata nikitupia ni sawa tu maana ni mwanamke kwangu.....
Mkuu ukifanya hivyo utakuwa haujatofautiana na shetani kabisa. Ushawaza kwa bahati nzuri ikatokea mwanamke huyo huyo ukazaa nae na yule mtoto wako akakua akijua huyo binti ni dada ake bado utakuwa na mawazo hayo hayo ya kifedhuli?
Utajipalia laana kwa watoto wako maana wazungu wanasema "Karma is a bitch"
It will come back to you in a good measure.

Usiwaze kishetani hivyo kaka. Wanawake wamejaa huku duniani hamna ulazima wa kufanya hivyo
 
Hahahah mkuu sio kwa wanawake wote. Amini kwamba!

Kuna wanawake ambao wana roho kama za kiumeni tu. Wanawake ambao wanatoa bila kuhesabu yani wapo hivyo. As long as mpo in good terms unakula mema ya nchi. Mwanamke huyu hela yake hana masharti nayo as long as mnakubaliana kufanya jambo lenu.

Ukimtibua anasonga zake mbele wala hamsumbuani na vyote utaachiwa hapo. Yami wana roho za kizungu
Mkuu usibishane na order of nature mwanaume pambana....
 
Well said bro.
Hapa ina make sense kwa wale kina Mariooo waliopitiliza.
Nakusoma mzee.
Wanawake wanapenda kuona walau a man went out of his way to at least think of her even for that little gift. Women don't look at the gift but the heart behind the gift. To them (at least in their psychology) they know, not only you care but in your mind they are existing.[emoji12][emoji28]
jamaniii bro tenaaa,..unataka nikose nini hapa jukwaani??
 
Nimeielewa sana ila mnachofanya hapa mnakimbia mzizi wa tatizo! Hamtaki kujua chanzo cha haya mnayojiuliza mnataka kujadili mada kienyejienyeji tu!
Karma wewe inaonekana Ni selfish,una roho mbaya ,gubu,visilani ...Ni mtu unataka ligi kwa issue ndogo ,Ni mgum wa kuomba msahamaha ,kila kitu upo sahihi
Na inaonekana Usha umizwa Sana au umeachika ..

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Nikiri tena tu kuwa sijawahi kukutana na sehemu yenye wanawake wa hovyo kama Dar! Japo wapo wanaojielewa ila majority ni liability!

On top of outing na mazaga yote still atataka ukimchila umpe na hela ya kujikim na nauli.[emoji23][emoji23][emoji23]
Ukahaba wa kisasa katika kivuli cha mahusiano...... Dar kuna magold digger wapuuzi sana halafu njaa.
 
Sasa we unadhani kwann wanaume wanalalamika hapa?!

Hebu tumia hata figo kufikiria. Hapa tunaongelea swala la kuoneana huruma na sio nani atoe..... Hata kama vitabu vya MUNGU vimeandika kuwa mwanaume atakuwa provider kwa mwanamke maishani mwake ila kuna dosari za kimaisha huwa zinatokea na ndipo hapo hekima na busara hutumika.

Wewe binti unakipato unaishi na mwanaume ambaye unampenda na yeye anakupenda ila ndio hali si nzuri kwake. Ajira ngumu, amekwama, kidogo alichopata kianaishia kwenye bili ya kumeme, maji, chakula na nauli anazotumia kwenye mihangaiko, akipata kidogo anakununulia hata vocha ndipo uwezo wake unaishia hapo.

Wewe una uwezo wa kulipa kodi ya nyumba, una uwezo wa kusapoti gharama zingine na akiba ipo, unakwama wapi kumsaidia mwenzako?!

Hapo ndipo tunapaongelea.... Kwamba unasema upo katika mapenzi, unajiita mwanamke wa fulani halafu akikwama wewe haupo serious nae unaishia kusema kauli za kimbea kuwa mwanaume atatafuta kwa jasho kwan yeye kakwambia hatafuti, kwan kukosa ni dhambi kusema wewe umuone yeye hayupo serious na maisha....?!
Oohh kwahiyo kwenye andiko la mwanaume kula kwa jasho ndipo mnapotaka tutumie contingency theory? Ila kwenye andiko la mwanaume kumtawala mwanamke ndiyo tuende kama biblia inavyotaka?
 
Mkuu ukifanya hivyo utakuwa haujatofautiana na shetani kabisa. Ushawaza kwa bahati nzuri ikatokea mwanamke huyo huyo ukazaa nae na yule mtoto wako akakua akijua huyo binti ni dada ake bado utakuwa na mawazo hayo hayo ya kifedhuli?
Utajipalia laana kwa watoto wako maana wazungu wanasema "Karma is a bitch"
It will come back to you in a good measure.

Usiwaze kishetani hivyo kaka. Wanawake wamejaa huku duniani hamna ulazima wa kufanya hivyo
Maumivu ndugu yangu, kifua kimejazwa maumivu na hawa viumbe ndio maana nikikisikia wakorofi huwa nawaza kuwakomoa tu.
 
Hahahah most of the times wale wanawake wanaoonesha mapenzi kwetu sio tunaowapendaga by 100% ila katika maisha lazma ujifunze kuridhika sababu mungu huwa hakupi utakacho ila unachostahili tu.

Kwahio mkuu ulikuwa unafungiwa ndani kama mwali tu [emoji23][emoji23][emoji23]! Hio biashara hapana
Acha tuu yaan hata nikitoka nataka bia inapigwa simu zinaletwa na boda boda home.

Dah Una Kula Mzigo lakin huna morali
 
Back
Top Bottom