mcTobby
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 4,072
- 12,119
Sali sana kula, kunywa vizuri fua nguo zako pendeza kisha nenda kazini cheka na tabasmu na watu .piga kazi in order to make both ends meet rudi nyumbani kisha ulale ukisubiria siku za Kufa maana siku zetu ni chache.. mapenzi waachie wenye upepo nayo usilazimishe ku fit in kwenye ulimwengu wa mapenzi.