Mapenzi ni upuuzi

Mapenzi ni upuuzi

H
Nimegundua kwa mara ya pili mapenzi ni upumbavu na upuuzi tu, yalishanikuta mara ya kwanza nikapuuzia na hii mara ya pili nathibitisha ni upuuzi tu!

Baada ya siku kadhaa kuwakejeleli watu hapa JF waliokuwa wakilialia kipuuzi kuhusu mapenzi na mimi yamenikuta aisee!

Unampenda mtu na kumjali na kumfanya mtu muhimu halafu anakuja kukugeuka kipuuzi! Muhimu ni kwamba nilishajiwekea kutomuamini 100% mwanamke na hii imesaidia kidogo. Ila nimeumia sana.

Kuna mwanamke nilipanga kumuoa na tulipanga naye mambo mengi tu, tulipanga mwakani nifanye kweli kumuoa ila kumbe kuna mwenzangu sasa kapeleka posa na mwanamke kakubali kuolewa!

Sasa najiuliza kule kumjali kote na kujifanya kunionesha ananipenda kupitiliza yale yote yalikua maigizo? Mpaka muda huu nashindwa kumtafakari huyu binti maana kanipotezea muda aisee.

Leo nasema kamwe sioi, sioi, sioi kamwe! Naanza kulipa kisasi sasa, nitawadanganya, kuwachezea na kuwapotezea na ninyi muda ili kulipa hiki kisasi. Nasema kataa ndoa, kataa ndoa!
Hukuwa makini pengine dalili zote zlikuwa nazo wewe ukang'ang'ania. Sasa angefanyaje.
Hao wa kuwadanganya huwapi ng'oo wameshajanjaruka.
 
Sasa wewe so bado haujaoa mwenzio kakuzidi kete.
Tafuta mwingine uoe.
 
Hapo kati yenu mmoja alikua na kibunda zaidi na alikua tayari kumuoa muda huo huo. Ndio kilichokukuta.
Sure kaka mimi pia naona ndo ipo hivyo. Mwanamke kapima uwezo kaona yule nwingine ana uwezo zaidi.
huyu kapuku mwenzangu akapewa viazi amenye [emoji23]
 
Sure kaka mimi pia naona ndo ipo hivyo. Mwanamke kapima uwezo kaona yule nwingine ana uwezo zaidi.
huyu kapuku mwenzangu akapewa viazi amenye [emoji23]
Wanawake wakifikia umri wa miaka 25+ na yupo tayari kuolewa hata akupende vipi akitokea mtu yupo tayari kumuoa na kakizidi uwezo kiasi hawawazi mara mbili mbili.
 
Kuna mwanamke nilipanga kumuoa na tulipanga naye mambo mengi tu, tulipanga mwakani nifanye kweli kumuoa ila kumbe kuna mwenzangu sasa kapeleka posa na mwanamke kakubali kuolewa!
Inaonekana mwamba alikuzidi dau asee

Tuendelee kutafuta pesa tu mkuu
 
Mkono mtupu haulambwi waswahili walijisemea. Uzuri wa pale ukipiga unarudi kaunta unamwagilizia moyo ukiona mwingine unavuta unaenda kupiga tena mwendo unakuwa huo yaani
Yes mkuu mleta mada atakua amekupata vilivyo hasara roho pesa makaratasi akishamwagilia moyo anaenda kumwagilia na mbunya yako moja matata km asipotesheka anachukua nyingine au anaweza akapiga 3some au 4some au 5some ni yeye na pesa yake tu
 
Wenzako wanakutwa na makubwa yasiyoelezeka wewe unalia kuachwa kabla ya ndoa, ulitakiwa ufurahi maana ungelia huko mbele ya safari.
 
H

Hukuwa makini pengine dalili zote zlikuwa nazo wewe ukang'ang'ania. Sasa angefanyaje.
Hao wa kuwadanganya huwapi ng'oo wameshajanjaruka.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we jamaa bana, wamejanjaruka toka lini? Wakati hadi wake za watu wandanganywa mkuu na wanaliwa vizuri tuu , kwel ww huwajui wanawake

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Baada ya kupigwa matukio mazito zaidi ya mara 3 ilibidi nijifunze kuishi humu
 
Back
Top Bottom