Sisi hatunaga Helakikubwa ufike. Muyajenge hata mkitaka hata kununua Gulfstream 650 ... ila muache kuwa matonyaaa.. unashindwa jikatie tiketi ya go and return ? alafu ukifanya hivyo sie wanaume tunakukubali sana utaona ma miamala ya kutosha maana mtu atana una akili nzuri na ya kimaendeleo.. ila sio mnaanza tu hata nauli ya KISBO inakutoa kando π π
Banaa hawa wanajiendekeza tu, kuna kademu kalikuwa ka beki tatu kalikuwa ka manzi changu walikuwa wakati mwingine hawakalipi, ila popote nilipokuwa kaliweza mudi gharama za kunifata na wakati mwingine kanalipia Lodge.. haya madada ya siku hizi majambazi yaliyojificha nyuma ya kuvuli kwamba majukumu flani flani ni ya MeMkuu kuna ambao kweli hawana, hawana means za kuwaingizia kipato. Bnafsi hao nawaelewa, ila mtu ana kipato na unaombwa nauli, anyway vijana muendelee kulisongesha. Nilifanya hivyo once wakati nadate mtoto niliyetaka kumuoa....haikufanikiwa!
Mfe njaa kama hamna helaSisi hatunaga Hela
Hakuna mwana ke ana Helaπππ
Unajua mapenz Wew au unayasikia unakutana na mtu huko anakielewa kichaa chako vzuri kwanini usikubali ivoivo tutajuana mbele ya safariππUkitaka usiumize kichwa, angalia mazingira yanayofikika kirahisi. Binafsi hata kuolewa nahisi ni muhimu kuangalia, sio unaishi Kagera unaolewa na kidume kwao mbeyq, makazi yenu ni arusha...naona inakuwa ngumu sana.
Hatufi njaa na Hela hatuna πMfe njaa kama hamna hela
Hapo unakua umeombwa sh ngapi mpaka unasema waifate gheto
π π nyie ni wezi tuHatufi njaa na Hela hatuna π
Nafikiri hujanielewa, nilimaanisha ile mtu kudanga ili apewe mtaji, tena anapewa na mtu asiyempenda, lengo likiwa kumvulia kyupi ili apate atakacho.Wala hujaniudhi ni maoni yako mpendwa hakuna mapenzi yasiyokuwa na kusaidiana pale inapohitajika yaani niogope kumuomba mpenzi wangu pesa ya msingi kwa kuogopa nitaonekana nauza hiyo kwangu haipo hivyo kwani pesa ya kupewa kwangu haiendi bure matunda yataonekana na mhusika.
Mwisho wa siku ni kuumia tu manake sasa kuonana ni mara moja kwa mwaka, hata kuwekwa kizembe na watu baki ni rahisi manake nyege zikikaba koo unashindwa kujizuia.Unajua mapenz Wew au unayasikia unakutana na mtu huko anakielewa kichaa chako vzuri kwanini usikubali ivoivo tutajuana mbele ya safariππ
Wewe ni kuanzia kiasi gani utakifuata geto?ππHapo unakua umeombwa sh ngapi mpaka unasema waifate gheto
Date your size hutopata shida. Ukiona mwanamke kasema babe nakuja na the wings of kilimanjaro usimchukulie pouwa uwezo huo anao ndo maana anakukumbusha majukumu yako.kikubwa ufike. Muyajenge hata mkitaka hata kununua Gulfstream 650 ... ila muache kuwa matonyaaa.. unashindwa jikatie tiketi ya go and return ? alafu ukifanya hivyo sie wanaume tunakukubali sana utaona ma miamala ya kutosha maana mtu atana una akili nzuri na ya kimaendeleo.. ila sio mnaanza tu hata nauli ya KISBO inakutoa kando π π
hata kama mia mbili, maana hujui aliipataje mkuu.. π π πHapo unakua umeombwa sh ngapi mpaka unasema waifate gheto
Tunatafuta 'sex & love' na sio sex tuKwanini mnachukua madem wa mbali? Chukueni next door...
Nikope tena πππ nakumwaga natafuta mchumba mpya sehem ambayo najua nauli ni buku tatu kufika kazi kwisha.Mapenzi ni hisia kati ya mwanaume na mwanamke, na kinachowaunganisha ni hizo hisia walizojijengea wao katika mahusiano waliyonayo.
Kama mmoja atakuwa na hisia zaidi kuliko mwenzake, huyo lazima awe mtumwa katika hayo mahusiano; atateseka kiuchumi na kifikra katika kumfurahisha mwenzake ili asije kumkimbia.
Hayo tunasema, sio mahusiano yenye afya kwa binadamu; kwa sababu pale utakaposhindwa kutimiza mahitaji ya upande wa pili, lazima uhusiano utetereke.
kwa mantiki hiyo, kama mahusiano yatakuwa na afya hakutakuwa na kuuziana hisia; kama kukulipia nauli ndio uje, kukununulia kitu fulani ndio unipe penzi, au mpaka nikuonge kitu fulani ndio ujenge hisia kuwa na mwenzako n.k tunasema huo ni ubatili katika mahusiano.
Naamini kama utakuwa na hisia na mwenzako, utagharamika kivyako ili muweze kuwa na mwenzako, bila kumpa mwenzio gharama akugharamikie.
Wanaume tushtuke, usisafirishe mzigo; kama ana mapenzi na wewe atakuja mwenyewe ata kwa kukopa.
Tofauti na hapo, tutakuwa tunauziana; ndio maana usafirishaji wa mizigo unakuwepo.
Changamka π€Naweka sio mda mrefu
Ndio πππna ya kupa njianiAtume na ya kutolea au sio?
Labda 200k na kuendeleaWewe ni kuanzia kiasi gani utakifuata geto?ππ
Na kinachosafirishwa siku zote ni mzigo ππKuna tofauti ua kuusafirisha kwenye nyehunge na the wings of kilimanjaro
Amehlo ngoja nimuulize yule best yako, tulivyoshibana atanipa ukweli πKama hujawai kula nauli dislike hii commentπ