Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Ikiwa ni mpenzi ni halali kufanyiwa kilicho stahiki yake chuuTunaongelea mpenzi hapa,,huoni Kuna majukumu ya kufanya Kama mpenzi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikiwa ni mpenzi ni halali kufanyiwa kilicho stahiki yake chuuTunaongelea mpenzi hapa,,huoni Kuna majukumu ya kufanya Kama mpenzi?
Nilidhani na wewe chuu ni team lia lia 🤣Ikiwa ni mpenzi ni halali kufanyiwa kilicho stahiki yake chuu
Good,,,mwanajeshi una nyota na mwenge begani!Napiga vizinga ila sio vocha,nauli hiyo hapana kwangu yaani najua nikipata pesa hata mhusika atapenda nimpige kizinga kingine 😁😁😁
Hakika..Akakope hata mikopo kausha damu ndio aje nimpe rejesho na riba yake 😂
Dayana ulikula nauli yangu ipo siku yatatimia 😑 kuku wewe
Dah!🤣🤣🤣kwa hiyo wewe huwa unakutana na vibaka au sio?
Shida na nyinyi mmezidi kuomba mbususu mapema kwa nini hamjifunzi kwa wazee yaani mpaka ndoa ndio wanaomba tunda.
aya bhana,,, mi ntafanyaje sasa wakati ndo maisha uliyoyachagua🤷♀️🤷♀️
Sawasawa,ngoma drooShida na nyinyi mmezidi kuomba mbususu mapema kwa nini hamjifunzi kwa wazee yaani mpaka ndoa ndio wanaomba tunda.
MmekutanaShida na nyinyi mmezidi kuomba mbususu mapema kwa nini hamjifunzi kwa wazee yaani mpaka ndoa ndio wanaomba tunda.
Tatizo sio ninyi kuomba hela, wanaume tunapenda kuwapa nyie ubavu wetu hela, ila tatizo wengi wenu nyie wanawake mnatuomba hela kwa nia ovu ya kutukomoa, na sio kwamba mna shida kweli na hiyo hela..Wala hujaniudhi ni maoni yako mpendwa hakuna mapenzi yasiyokuwa na kusaidiana pale inapohitajika yaani niogope kumuomba mpenzi wangu pesa ya msingi kwa kuogopa nitaonekana nauza hiyo kwangu haipo hivyo kwani pesa ya kupewa kwangu haiendi bure matunda yataonekana na mhusika.
Namba iko wapiTumeni nauli hizo😂😂
Ukitumia nauli yako, inaleta hisia zaidiTumeni nauli hizo😂😂
Ila bwana, mapenzi kitu cha hovyo sana. Unadate na mtu yupo Mwanza wakati mji uliopo umejaa wanawake kibao, ugharamike nauli mwanza-dar wakati kitu kikiwa ubungo hapo ni mwendo wa sms moja tu ghetto linanukia unyunyu wa mtoto.Ukiona una date na mademu wanaomba nauli, jua una date na malaya bado au machokolaa wa kimapenzi.. Mwanamke anae shindwa hata jihudumia nauli huyo hana maana kabisa